Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.

Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

James Mduma (Guest) on October 7, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 13, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on June 11, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About