Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia kipato chao na kulisha familia zao.
Wewe u Msimamizi wa wafanyakazi, tujalie kwamba pasiwepo kati yetu mtu asiye na ajira, na kwamba wale wote ambao wako tayari kufanya kazi waweze kuelekeza nguvu zao na uwezo wao katika kuwatumikia wanadamu wenzao na kujipatia kipato halali.


Wewe u Msimamizi wa familia, usiwaache wale wenye watoto wa kuwatunza na kuwalea wakose namna ya kufanya hivyo. Uwahurumie ndugu zetu waliokosa ajira na kugubikwa na umasikini kwa sababu ya magonjwa au mipango mibaya ya kijamii. Wasaidie viongozi wetu wa kisiasa na walioshika usukani katika nyanja mbalimbali za kiuzalishaji wavumbue suluhu mpya na za haki za jambo hili. Utujalie ili kila mmoja wetu apate kujipatia kipato halali na kufurahia fursa ya kushiriki kadri ya uwezo wake, katika maisha bora zaidi kwa wote. Utujalie ili wote tushiriki pamoja katika raslimali alizotujalia Mungu, na pia utujalie tuwe tayari daima kuwasaidia wale walio wahitaji kuliko sisi.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kabura (Guest) on January 24, 2024

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 6, 2023

Endelea kuwa na imani!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 1, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Simon Kiprono (Guest) on November 18, 2023

Amina

David Sokoine (Guest) on October 28, 2023

Nakuombea πŸ™

Ann Awino (Guest) on July 13, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Carol Nyakio (Guest) on June 1, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Wilson Ombati (Guest) on April 22, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2023

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Andrew Mahiga (Guest) on February 7, 2023

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Robert Ndunguru (Guest) on November 5, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Alice Wanjiru (Guest) on September 26, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Kevin Maina (Guest) on August 25, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Paul Kamau (Guest) on August 22, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Susan Wangari (Guest) on August 11, 2022

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Carol Nyakio (Guest) on June 3, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Hellen Nduta (Guest) on May 31, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Charles Wafula (Guest) on May 13, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Violet Mumo (Guest) on April 15, 2022

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

John Mushi (Guest) on June 30, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Sarah Mbise (Guest) on June 20, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Peter Otieno (Guest) on May 31, 2021

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Vincent Mwangangi (Guest) on May 9, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Elizabeth Mrope (Guest) on April 10, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Henry Sokoine (Guest) on March 15, 2021

Rehema zake hudumu milele

David Nyerere (Guest) on February 14, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Charles Mrope (Guest) on January 3, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Jacob Kiplangat (Guest) on December 16, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Irene Akoth (Guest) on November 1, 2020

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Mary Sokoine (Guest) on October 13, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Nancy Kabura (Guest) on August 23, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Samuel Were (Guest) on August 11, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Mariam Hassan (Guest) on June 21, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Samuel Were (Guest) on June 9, 2020

Mungu akubariki!

Carol Nyakio (Guest) on May 9, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elizabeth Mrope (Guest) on May 9, 2020

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joyce Nkya (Guest) on May 7, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Nancy Kawawa (Guest) on April 1, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Philip Nyaga (Guest) on February 2, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Kenneth Murithi (Guest) on September 29, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Betty Akinyi (Guest) on September 25, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Linda Karimi (Guest) on February 27, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Michael Onyango (Guest) on February 22, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Raphael Okoth (Guest) on February 12, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Isaac Kiptoo (Guest) on January 24, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Diana Mallya (Guest) on December 11, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Elizabeth Malima (Guest) on October 11, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

George Tenga (Guest) on September 22, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Mwangi (Guest) on July 25, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Nora Lowassa (Guest) on July 11, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 17, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Paul Ndomba (Guest) on June 16, 2018

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Samuel Were (Guest) on May 9, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Ann Awino (Guest) on April 24, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Joseph Kiwanga (Guest) on December 14, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Irene Akoth (Guest) on December 8, 2017

Dumu katika Bwana.

Carol Nyakio (Guest) on September 2, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nora Kidata (Guest) on March 7, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Related Posts

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About