Maswali na majibu kuhusu Katekesi

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2016-02-20 01:03:00πŸ’¬ 52 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF
Katekista ni nani?

Katekista ni mlei aliyechaguliwa na Kanisa ili kumfanya Kristo ajulikane, apendwe, na kufuatwa na wale ambao hawajamfahamu na pia waamini


Waraka wa Baba Mtakatifu Unatafsiri vipi Makatekista?

Waraka unasema; 1. Makatekista ni Wafanyakazi maalimu 2. Mashahidi wa moja kwa moja, Wainjilishaji wasio na mbadala


Mkusanyo Sheria Kanuni za Kanisa unaelezaje kuhusu Makatekista?

Unaeleza kuwa - Makatekista ni Walei Wakristo ambao wamepewa malezi halisi na wanajitokeza vizuri katika maisha ya Ukristo wao.


Chini ya Uongozi wa Kanisa Katekista anafanya Kazi gani?

1. Yeye ni Kiungo cha Mapadre na waamini wa eneo lake 2. Kufikisha mafundisho ya Injili na kuhusika kwenye kazi za Ibada za kiliturujia na kazi za Huruma 3. Kuhubiri na kuwafundisha wakatekumeni 4. Kuelimisha vijana na watu wazima kkatika maswala ya Imani

5. Kuongoza Sala za Jumuiya hasa kwenye Ibada za Jumapili Ikiwa Padre hayupo 6. Kuwatembelea wagonjwa na kuwasaidia na kuongoza Ibada za Mazishi 7. Kufundisha dini mashuleni na kuwaandaa watoto katika kupokea Sakramenti mbalimbali 8. Kutembelea Jumuiya ndogondogo kuziendeleza na kuziimarisha

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

52 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
J
Josephine Nekesa2018-04-06 03:19:50
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
J
Joseph Kawawa2018-03-27 15:32:09
Mungu akubariki!
V
Victor Malima2018-02-11 13:10:24
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
M
Mary Kidata2016-11-21 13:53:06
Nguvu hutoka kwa Bwana
G
George Wanjala2016-10-27 00:30:17
Tumaini ni nanga ya roho
P
Peter Tibaijuka2016-08-23 00:55:39
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
J
John Malisa2016-07-24 20:54:52
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
J
John Mwangi2016-07-19 07:35:06
Nakuombea πŸ™
D
Diana Mallya2016-04-29 09:58:28
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
J
Jane Muthui2015-08-12 12:54:08
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
J
Josephine Nekesa2015-06-30 21:51:20
Neema na amani iwe nawe.