Mungu yupo kwa ajili yako

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-05-20 08:35:21πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka kuwa Mungu yupo, anayaona hayo na anataka kukusaidia, ni wewe tuu kumpa nafasi ya kukusaidia. Hatumpi Mungu nafasi pale tunapozani tunaweza wenyewe.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
L
Lydia Mzindakaya2017-02-14 03:06:01
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
J
James Kimani2017-02-05 12:39:06
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
V
Victor Kamau2016-08-13 09:53:44
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
N
Nancy Kawawa2016-06-28 20:52:53
Mwamini katika mpango wake.
L
Lydia Mahiga2016-05-31 03:17:33
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
A
Anna Malela2016-04-23 08:41:46
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
A
Agnes Njeri2015-09-04 15:29:05
Rehema zake hudumu milele
L
Lydia Mahiga2015-08-09 12:15:36
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
A
Alice Mrema2015-04-27 10:25:43
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
B
Betty Akinyi2015-04-21 14:29:29
Mungu akubariki!