Furaha ya Binadamu

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-07-20 08:20:13πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Kufanya Mambo mema ndipo kunaleta furaha ya kweli kwa Binadamu yeyote yule. Hakuna Binadamu anayefurahia kufanya maovu. Mema hayaambatani na majuto lakini uovu wowote unamajuto. Hata waovu wanafanyiana mema ili wapate furaha.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
M
Mary Sokoine2017-04-07 17:48:36
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
P
Peter Tibaijuka2017-01-27 05:20:29
Nakuombea πŸ™
L
Linda Karimi2017-01-18 19:28:06
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
J
John Lissu2016-11-22 19:00:59
Tumaini ni nanga ya roho
M
Margaret Anyango2016-08-30 21:07:03
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
J
Jane Malecela2016-07-31 13:01:14
Mwamini Bwana; anajua njia
R
Ruth Kibona2015-11-29 23:41:56
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
A
Anna Sumari2015-11-18 04:11:46
Neema na amani iwe nawe.
M
Mary Kidata2015-08-23 21:09:44
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
I
Irene Akoth2015-08-05 09:30:32
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha