Sali daima

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-03-20 08:05:38πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Kama mtu anasali kila siku katika maisha yake hakuna kitu kitakachokuwa kigumu. Sala ni njia ya kujipatia neema za kuendesha maisha yetu. Usiache kusali kila siku hata kama upo katika hali gani.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
M
Monica Adhiambo2017-02-09 18:11:57
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
D
David Musyoka2017-01-07 20:15:43
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
J
Josephine Nekesa2016-10-03 01:01:42
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
S
Stephen Malecela2016-09-19 21:55:46
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
A
Ann Wambui2016-09-07 12:48:46
Baraka kwako na familia yako.
A
Alex Nakitare2016-02-21 08:07:15
Tumaini ni nanga ya roho
J
Joseph Kitine2015-10-22 03:45:31
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
J
Josephine Nduta2015-09-14 02:17:56
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
V
Victor Malima2015-08-04 10:09:34
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
J
Joseph Kitine2015-07-06 13:15:57
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi