Umuhimu wa kumsogelea Mungu

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-03-20 07:17:09πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha yako ndivyo na yeye anavyotenda kazi kwako.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
E
Edward Lowassa2017-07-10 21:40:18
Sifa kwa Bwana!
P
Peter Mbise2017-04-29 23:12:41
Tembea kwa imani, si kwa kuona
M
Monica Adhiambo2017-03-29 15:49:07
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
M
Monica Lissu2016-12-08 20:40:17
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
G
George Wanjala2016-08-24 18:06:28
Mwamini katika mpango wake.
V
Victor Kamau2016-01-09 11:34:29
Nakuombea πŸ™
R
Rose Kiwanga2015-12-26 00:15:16
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
N
Nancy Komba2015-11-10 04:07:51
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
J
James Kawawa2015-10-31 18:09:24
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
P
Paul Ndomba2015-08-23 11:36:10
Kwa Mungu, yote yanawezekana