Maswali na majibu kuhusu Katekesi

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2016-02-20 01:03:00πŸ’¬ 52 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF
Katekista ni nani?

Katekista ni mlei aliyechaguliwa na Kanisa ili kumfanya Kristo ajulikane, apendwe, na kufuatwa na wale ambao hawajamfahamu na pia waamini


Waraka wa Baba Mtakatifu Unatafsiri vipi Makatekista?

Waraka unasema; 1. Makatekista ni Wafanyakazi maalimu 2. Mashahidi wa moja kwa moja, Wainjilishaji wasio na mbadala


Mkusanyo Sheria Kanuni za Kanisa unaelezaje kuhusu Makatekista?

Unaeleza kuwa - Makatekista ni Walei Wakristo ambao wamepewa malezi halisi na wanajitokeza vizuri katika maisha ya Ukristo wao.


Chini ya Uongozi wa Kanisa Katekista anafanya Kazi gani?

1. Yeye ni Kiungo cha Mapadre na waamini wa eneo lake 2. Kufikisha mafundisho ya Injili na kuhusika kwenye kazi za Ibada za kiliturujia na kazi za Huruma 3. Kuhubiri na kuwafundisha wakatekumeni 4. Kuelimisha vijana na watu wazima kkatika maswala ya Imani

5. Kuongoza Sala za Jumuiya hasa kwenye Ibada za Jumapili Ikiwa Padre hayupo 6. Kuwatembelea wagonjwa na kuwasaidia na kuongoza Ibada za Mazishi 7. Kufundisha dini mashuleni na kuwaandaa watoto katika kupokea Sakramenti mbalimbali 8. Kutembelea Jumuiya ndogondogo kuziendeleza na kuziimarisha

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

52 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
F
Francis Mrope2021-03-12 06:58:52
Dumu katika Bwana.
V
Victor Kamau2021-02-15 20:16:25
Wakati wa Mungu ni kamilifu
F
Frank Macha2021-01-30 18:36:11
Imani inaweza kusogeza milima
N
Nancy Komba2021-01-23 21:53:49
Mungu ni mwema, wakati wote!
M
Mary Kendi2020-07-04 01:56:52
Tembea kwa imani, si kwa kuona
M
Mary Sokoine2020-06-06 16:42:35
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
N
Nora Kidata2020-04-08 01:31:47
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
L
Lucy Wangui2020-02-26 04:57:27
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
E
Elizabeth Mtei2020-01-14 21:54:29
Neema ya Mungu inatosha kwako
J
John Lissu2020-01-10 02:34:13
Katika imani, yote yanawezekana
P
Peter Tibaijuka2019-12-24 19:26:07
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
M
Mary Njeri2019-06-30 13:17:37
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
M
Monica Nyalandu2019-06-30 10:17:10
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
A
Ann Awino2019-06-20 08:14:13
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
E
Edward Lowassa2019-02-08 00:05:04
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
S
Samuel Omondi2019-02-05 17:05:22
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
L
Lydia Mzindakaya2018-12-13 04:56:30
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
E
Elizabeth Mtei2018-06-30 23:08:27
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
R
Ruth Wanjiku2018-06-19 09:44:24
Sifa kwa Bwana!
P
Peter Otieno2018-05-31 09:46:36
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine