Sala ni Hazina

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-09-10 07:52:03πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Sala ni Hazina. Kusali ni muhimu sana. Sala unayosali leo inaweza kukusaidia hata miaka kumi ijayo au ikasaidia watoto wa watoto wako. Mungu ni mwenye fadhila na anakumbuka yote. Mwombe Mungu akulinde ukiwa mzima ili uwapo hatarini akukumbuke hata kabla hujamwomba.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
A
Andrew Mahiga2021-01-19 08:04:36
Sifa kwa Bwana!
F
Francis Njeru2020-10-17 08:41:27
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
P
Peter Mwambui2020-06-19 02:12:22
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
J
Josephine Nduta2020-05-04 09:39:22
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
J
John Lissu2020-04-08 13:19:18
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
F
Francis Mrope2020-01-22 11:46:39
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
E
Elizabeth Mrope2020-01-10 05:56:59
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
V
Violet Mumo2019-11-27 02:33:39
Endelea kuwa na imani!
J
Jane Malecela2019-09-24 23:09:37
Nguvu hutoka kwa Bwana
J
James Kawawa2019-08-30 21:33:41
Dumu katika Bwana.
K
Kenneth Murithi2019-01-05 16:51:35
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
J
Josephine Nduta2018-09-27 12:37:22
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
J
Janet Sumaye2018-07-13 00:28:37
Nakuombea πŸ™
D
David Kawawa2018-02-27 06:51:41
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
J
Joseph Mallya2017-10-20 09:42:21
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
H
Hellen Nduta2017-10-08 17:16:32
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
J
John Lissu2017-09-25 01:21:57
Rehema hushinda hukumu
M
Michael Mboya2017-09-19 14:21:24
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
R
Ruth Mtangi2017-08-19 13:41:11
Wakati wa Mungu ni kamilifu
A
Anna Mchome2016-12-02 21:07:47
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako