Maswali na majibu kuhusu Katekesi

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2016-02-20 01:03:00πŸ’¬ 52 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF
Katekista ni nani?

Katekista ni mlei aliyechaguliwa na Kanisa ili kumfanya Kristo ajulikane, apendwe, na kufuatwa na wale ambao hawajamfahamu na pia waamini


Waraka wa Baba Mtakatifu Unatafsiri vipi Makatekista?

Waraka unasema; 1. Makatekista ni Wafanyakazi maalimu 2. Mashahidi wa moja kwa moja, Wainjilishaji wasio na mbadala


Mkusanyo Sheria Kanuni za Kanisa unaelezaje kuhusu Makatekista?

Unaeleza kuwa - Makatekista ni Walei Wakristo ambao wamepewa malezi halisi na wanajitokeza vizuri katika maisha ya Ukristo wao.


Chini ya Uongozi wa Kanisa Katekista anafanya Kazi gani?

1. Yeye ni Kiungo cha Mapadre na waamini wa eneo lake 2. Kufikisha mafundisho ya Injili na kuhusika kwenye kazi za Ibada za kiliturujia na kazi za Huruma 3. Kuhubiri na kuwafundisha wakatekumeni 4. Kuelimisha vijana na watu wazima kkatika maswala ya Imani

5. Kuongoza Sala za Jumuiya hasa kwenye Ibada za Jumapili Ikiwa Padre hayupo 6. Kuwatembelea wagonjwa na kuwasaidia na kuongoza Ibada za Mazishi 7. Kufundisha dini mashuleni na kuwaandaa watoto katika kupokea Sakramenti mbalimbali 8. Kutembelea Jumuiya ndogondogo kuziendeleza na kuziimarisha

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

52 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
E
Elizabeth Malima2024-06-03 19:06:22
Mwamini Bwana; anajua njia
M
Michael Mangazini2024-05-29 18:01:19
Kazi nzuriπŸ‘
M
Melkisedeck Leon Shine2024-05-30 18:37:28 Β· Master Admin
Endelea kujifunza na Kubarikiwa
K
Kevin Maina2024-04-13 21:52:06
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
F
Fredrick Mutiso2023-11-09 20:31:35
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
J
James Kimani2023-10-22 10:13:13
Rehema zake hudumu milele
B
Benjamin Masanja2023-10-17 13:17:43
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
B
Betty Cheruiyot2023-09-03 21:16:22
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
J
Janet Wambura2023-07-02 20:03:42
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
R
Richard Mulwa2023-06-04 06:18:15
Baraka kwako na familia yako.
S
Samuel Were2022-12-04 07:43:42
Mwamini katika mpango wake.
E
Esther Nyambura2022-11-25 04:44:43
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
F
Frank Macha2022-08-20 13:49:17
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
A
Andrew Mchome2022-07-21 23:27:27
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
T
Tabitha Okumu2022-06-23 23:36:15
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
D
David Musyoka2022-04-23 05:57:24
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
S
Stephen Amollo2021-12-04 18:06:56
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
I
Irene Akoth2021-09-25 00:13:40
Endelea kuwa na imani!
W
Wilson Ombati2021-05-14 19:40:30
Kwa Mungu, yote yanawezekana
J
James Malima2021-04-20 20:27:22
Rehema hushinda hukumu
E
Emily Chepngeno2021-03-21 16:26:23
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi