ACKYSHINE ARTICLES Β· PUBLIC LIBRARY

πŸ“š Makala za Tafakari Kwa Wakatoliki

Browse published Articles by category, tag or language. Random discovery is the default and keeps a stable order while you move through pages.

Reset
ACKYSHINE ARTICLE Β· #542

Zawadi ya Kipekee kwa Mtu Ambayo Inadumu Milele

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari kuhusu Upendo kwa Mungu na Wengine

Kuna Zawadi moja ya Kipekee ya kumpa mtu ambayo ni Kusali na Kuomwombea Mtu aweze kuingia Mbinguni. Je, ulishawahi kutoa zawadi hii hasa kwa wale unaowapenda? K…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #531

Mungu ni mwenye upendo, Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Toba na Msamaha#Tafakari za Upendo na Huruma ya Mungu

Mungu ni mwenye upendo Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi. Mungu yupo tayari kumsikiliza mtu yeyote mwenye dhambi kama ameutambua, amekiri na Kutubu makosa …

ACKYSHINE ARTICLE Β· #536

Siri ya Kuwa na Amani ya Moyoni au Rohoni

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya k…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #546

Mipango ya Mungu kwetu sisi wanadamu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Upendo na Huruma ya Mungu

Mipango ya Mungu daima ni myema, Mungu anapanga Mema katika maisha ya mtu kama akifuata mapenzi yake. Tatizo ni kwamba watu wanafuata mapenzi yao wenyewe na kis…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #508

Nguvu na Umuhimu wa Upendo

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari kuhusu Upendo kwa Mungu na Wengine

Katika fadhila zote, upendo ndio unaonyesha uwepo wa fadhila nyingine Upendo ni Amri kubwa kuliko zote Upendo ni Utimilifu wa Sheria Upendo ni Utakatifu

ACKYSHINE ARTICLE Β· #549

Siri za Upendo, Huruma, Rehema na Neema za Mungu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Ukuu wa Mungu#Tafakari za Upendo na Huruma ya Mungu

Kadiri Mtu anavyoanguka dhambini na kutubu kweli makosa yake ndivyo na upendo, Huruma, Rehema na Neema za MUNGU zinavyoongezeka katika maisha yake.

ACKYSHINE ARTICLE Β· #36875

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Kufufua na Kurejesha

Mafundisho ya Msingi ya Kanisa Katoliki: Makala za KatolikiMakala za Tafakari Kwa Wakatoliki

Huruma ya Mungu ni kama jua ambalo linang'aa kila siku, ikitoa nguvu ya kufufua na kurejesha maisha yetu. Kupitia huruma yake, tunaweza kusimama tena na kuendel…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #415

Maana ya kuushinda ulimwengu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.

ACKYSHINE ARTICLE Β· #565

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari kuhusu Upendo kwa Mungu na Wengine#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa s…