SALA YA IMANI
Mungu wangu, nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki...
Kanuni ya imani
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu,...
Sala ya Malaika wa Bwana
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mt...
SALA YA MAPENDO
Mungu wangu, nakupenda zaidi ya cho chote, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupen...
Sala fupi ya Asubuhi
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele...
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania
Pamoja na Mtakatifu Augustino tunasema โ Umetuumba kwa ajili yako ee Bwana, kwan...
SALA YA MTAKATIFU INYASI
Roho ya Kristo unitakaseMwili wa Kristo uniokoeDamu ya Kristo unifurahisheMaji y...
Litani ya Bikira Maria
Ee Bwana Mungu, utujalie sisi watumishi wako afya ya roho na mwili siku zote; na...
Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Tendo la kwanza; Malaika Gabrieli anamp...
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu y...
SALA YA KUTUBU
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kup...
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa ...
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ ka...
AMRI ZA MUNGU
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.2. USILITAJE BURE JINA LA MUN...
SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIATumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria...
SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chi...
Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema
...
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maov...
SALA YA JIONI
TUWAZE KATIKA MOYO WETU MAKOSA YA LEO TULIYOMKOSEA MUNGU KWA MAWAZO,KWA MANENO, ...
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga m...
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojit...
Sala kwa Mtakatifu Yosefu
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba sh...
Malkia wa Mbingu
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefuf...
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utu...
SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka, na kwa njia ya Damu yako azizi, na kwa maombezi...
SALAMU MARIA
Salamu MariaUmejaa neemaBwana yu naweUmebarikiwa kuliko wanawake woteNa Yesu mza...
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwis...
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha om...
Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifany...
Kuweka nia njema
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake t...
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
Yesu alimwahidi Mt. Brigita wa Sweden kwamba wale watakaosali Baba Yetu 7 na Sal...
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda...