ATUKUZWE BABA
Atukuzwe Babana Mwanana Roho MtakatifuKama mwanzona sasa,na siku zote,na milele....
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga m...
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote k...
Kanuni ya imani
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu,...
SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka, na kwa njia ya Damu yako azizi, na kwa maombezi...
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda...
SALA YA KUTUBU
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kup...
LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumieKristo utuhurumie Kristo utuhurumieBwana utuhur...
NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.Kusali noven...
SALA YA KUOMBEA FAMILIA
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Ka...
SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chi...
SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIATumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria...
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema y...
SALA YA MTAKATIFU INYASI
Roho ya Kristo unitakaseMwili wa Kristo uniokoeDamu ya Kristo unifurahisheMaji y...
Majitoleo kwa Bikira Maria
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya ro...
SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mf...
Sala ya Malaika wa Bwana
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mt...
Sala ya Usiku kabla ya kulala
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.SALA YA KUSHUKURUTunaku...
Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Tendo la kwanza; Malaika Gabrieli anamp...
AMRI ZA MUNGU
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.2. USILITAJE BURE JINA LA MUN...
SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa ...
ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.Kwenye Msalaba Sali:“Ee Yesu tupe...
Novena ya Noeli
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)Husaliwa kuanzia tar 30 Nov h...
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utu...
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumieKristo utuhurumie Bwana utuhurumieBwana utuhuru...
Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifany...
SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ ka...
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania
Pamoja na Mtakatifu Augustino tunasema “ Umetuumba kwa ajili yako ee Bwana, kwan...
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha om...
Litani ya Bikira Maria
Ee Bwana Mungu, utujalie sisi watumishi wako afya ya roho na mwili siku zote; na...
Sala ya Saa Tisa
✝⌚✝Sala ya saa tisa🙏🏾Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A minaYe...
SALA YA JIONI
TUWAZE KATIKA MOYO WETU MAKOSA YA LEO TULIYOMKOSEA MUNGU KWA MAWAZO,KWA MANENO, ...