SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa ...
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa ...
Sala ya Malaika wa Bwana
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mt...
Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifany...
Majitoleo ya Asubuhi
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, ...
Sala ya Asubuhi ya kila siku
Kwa jina la Baba…..Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.Nakushukuru kwa ...
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utu...
Sala ya kuomba Kifo chema
Enyi Yesu na Maria na Yosefu,nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu. Enyi Yesu ...
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania
Pamoja na Mtakatifu Augustino tunasema “ Umetuumba kwa ajili yako ee Bwana, kwan...
SALA YA KUTUBU
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kup...
Sala fupi ya Asubuhi
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele...
AMRI ZA KANISA
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA2. FUNGA SIKU YA JUMATA...
Sala kwa Mtakatifu Yosefu
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba sh...
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema y...
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ ka...
SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yen...
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maov...
Novena ya Noeli
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)Husaliwa kuanzia tar 30 Nov h...
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wan...
Sala ya Usiku kabla ya kulala
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.SALA YA KUSHUKURUTunaku...
ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima(Tumia rosari ya ...
ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA
Anza kusali Rozari kwa kuibusu miguu ya Bwana Yesu katika taswira (picha) yake M...
Sala ya Saa Tisa
✝⌚✝Sala ya saa tisa🙏🏾Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A minaYe...
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 ye...
Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu...
SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katol...
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ ...
SALA YA MTAKATIFU INYASI
Roho ya Kristo unitakaseMwili wa Kristo uniokoeDamu ya Kristo unifurahisheMaji y...
SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba s...
Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Tendo la kwanza; Malaika Gabrieli anamp...
Malkia wa Mbingu
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefuf...
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojit...