ACKYSHINE ARTICLES Β· PUBLIC LIBRARY

πŸ“š Makala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine

Browse published Articles by category, tag or language. Random discovery is the default and keeps a stable order while you move through pages.

Reset
ACKYSHINE ARTICLE Β· #565

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari kuhusu Upendo kwa Mungu na Wengine#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa s…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #544

Safari ya kupata fadhila ya Unyenyekevu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Fadhila ya Unyenyekevu ni matunda ya Upendo na Uvumilivu kwa hiyo ili kufikia Unyenyekevu yakupasa kuwa na Upendo wa kweli kwa Mungu na Wanadamu huku ukiwa mvum…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #546

Mipango ya Mungu kwetu sisi wanadamu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Upendo na Huruma ya Mungu

Mipango ya Mungu daima ni myema, Mungu anapanga Mema katika maisha ya mtu kama akifuata mapenzi yake. Tatizo ni kwamba watu wanafuata mapenzi yao wenyewe na kis…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #538

TAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu. Mateso na shida katika…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #23215

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Makala za Tafakari za Melkisedeck Leon ShineNukuu za Dini#Karibu AckySHINE

Kumtafuta Mungu ni jukumu la mtu binafsi na nafsi yake. Huwezi kumfuata Mungu kwa kufwata njia ya wengine. Njia yako ya kukuwezesha kumfikia Mungu ni tofauti na…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #522

Mambo ya Msingi Sana Kuhusu Kusali na Kuomba

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari Kuhusu Kusali na Kuomba#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Rafiki yangu, Omba utafute uso wa Mungu, Aonaye kwa Siri atakujibu kwa wazi. Mungu ni Mwaminifu Sana hasa kwa wamwombao bila kukoma na kwa matumaini. Mungu yeye…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #542

Zawadi ya Kipekee kwa Mtu Ambayo Inadumu Milele

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari kuhusu Upendo kwa Mungu na Wengine

Kuna Zawadi moja ya Kipekee ya kumpa mtu ambayo ni Kusali na Kuomwombea Mtu aweze kuingia Mbinguni. Je, ulishawahi kutoa zawadi hii hasa kwa wale unaowapenda? K…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #23213

Mwenendo Unaongozwa na Roho Mtakatifu

Makala za Tafakari za Melkisedeck Leon ShineNukuu za Dini#Karibu AckySHINE

Mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia. Maana tamaa za kidunia hupingana na matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana na …

ACKYSHINE ARTICLE Β· #526

Tafakari ya leo kuhusu Uaminifu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Uaminifu ni kipimo na kigezo cha Ukamilifu na Utakatifu. Uaminifu ni ishara ya Upendo na tunda la uvumilivu. Uaminifu ni alama ya ushirika na Umoja.

ACKYSHINE ARTICLE Β· #415

Maana ya kuushinda ulimwengu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.

ACKYSHINE ARTICLE Β· #508

Nguvu na Umuhimu wa Upendo

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari kuhusu Upendo kwa Mungu na Wengine

Katika fadhila zote, upendo ndio unaonyesha uwepo wa fadhila nyingine Upendo ni Amri kubwa kuliko zote Upendo ni Utimilifu wa Sheria Upendo ni Utakatifu

ACKYSHINE ARTICLE Β· #553

Siri ya Yesu: Mwangaza Wa Maisha

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Soma Siri ya Yesu aliye Mwangaza Wa Maisha, Jifunze namna unavyoweza kufaidi Mwangaza huu kushinda Uovu katika maisha Yako.

ACKYSHINE ARTICLE Β· #531

Mungu ni mwenye upendo, Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Toba na Msamaha#Tafakari za Upendo na Huruma ya Mungu

Mungu ni mwenye upendo Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi. Mungu yupo tayari kumsikiliza mtu yeyote mwenye dhambi kama ameutambua, amekiri na Kutubu makosa …

ACKYSHINE ARTICLE Β· #540

Yafahamu Mawazo na Mipango ya Mungu Kwako

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Ukuu wa Mungu#Tafakari za Upendo na Huruma ya Mungu

Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu …

ACKYSHINE ARTICLE Β· #558

Tafakari Kuhusu Matumizi Ya Mali

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha

Usiwe Bahili wa kutumia Mali ulizojaliwa na Mungu. Mungu amekupa Mali hizo ili ufurahie maisha uliyonayo ambayo siku moja yana mwisho.

ACKYSHINE ARTICLE Β· #23214

Makusudi ya Mungu kwa Kila Binadamu

Makala za Tafakari za Melkisedeck Leon ShineNukuu za Dini#Karibu AckySHINE

Mungu anamakusudi na kila binadamu anayeishi duniani. Hakuna mtu aliyebora zaidi mbele ya Mungu au asiye wa thamani mbele ya Mungu kama anafwata mpenzi ya Mungu…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #536

Siri ya Kuwa na Amani ya Moyoni au Rohoni

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Myenendo ya Maisha#Tafakari za Safari ya Kuelekea Utakatifu

Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya k…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #23216

Thamani ya Neno "Nimekusamehe"

Makala za Tafakari za Melkisedeck Leon ShineNukuu za Dini#Karibu AckySHINE

Ni jambo jema kusamehe wale waliotukosea. Neno "Nimekusamehe" ni zuri kusikia masikioni kuliko neno "Ninakupenda". Maana kusamehewa ni zaidi ya kupendwa kwani M…

ACKYSHINE ARTICLE Β· #511

Tafakari Upendo Mkuu wa Mungu kwa Mwanadamu

Makala za Tafakari Kwa WakatolikiMakala za Tafakari za Melkisedeck Leon Shine#Karibu AckySHINE#Tafakari za Ukuu wa Mungu#Tafakari za Upendo na Huruma ya Mungu

Karibu tutafakari Upendo Mkuu wa Mungu Kwa Wanadamu. Soma tuone namna Mungu alivyotupenda sana.