Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kwa nini Mungu hatendi mpaka umwambie au umuombe? Kwa nini tusali?

Featured Image
Mungu anapenda kutenda jambo baada ya mtu kumuomba/kusali ili mtu aelewe Ukuu wa Mungu na ili Mungu atukuzwe. Kama kila kitu mtu anachotaka kingekua kinafanyika, Binadamu asingemkumbuka Mungu na Mungu asingetukuzwa
100 💬 ⬇️

Wakati unapitia magumu usikate tamaa

Featured Image

Kuna Kipindi katika maisha yako unaweza ukapitia mambo Fulani magumu hadi ukaanza kujiuliza,hivi kwa nini yote haya yananitokea?Why Me God?.Na Mimi nimeshawahi kupitia katika hali hii.

Nilichojifunza ni kuwa hakuna changamoto ya kudumu milele na katika kila kinachoonekana Leo kuwa hakina majibu,ukiamini kuwa inawezekana basi utapata majibu yake.

50 💬 ⬇️

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Featured Image
"Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele" ni fursa adhimu ya kupata baraka tele kutoka kwa Mungu! Siyo tu kwa kusali, bali pia kwa kujitoa na kuwa wakarimu kwa wengine. Tujitokeze kwa wingi na tuweke mioyo yetu wazi kwa upendo wa Mungu na wenzetu. Hakuna kinachoweza kuzidi furaha ya kupokea baraka tele kutoka kwa Muumba wetu mwenye upendo. Twendeni, tushiriki na tupate baraka tele!
50 💬 ⬇️

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

Featured Image
Huruma ya Mungu ni mwanga wa matumaini katika giza la dhambi. Kila mtu anastahili kupata fadhila hii ya Mungu na kusonga mbele na furaha.
50 💬 ⬇️

Tofauti Wakati Wa Kukomunika Wakati Wa Kupokea Mwili Na Damu ya Yesu Kristo

Featured Image
Wakati wa Kukomunika kila mtu anampokea Yesu kwa namna alivyojiweka tayari. Vile ulivyojiandaa ndivyo na Yesu anakuja kwako.
101 💬 ⬇️

Hii Ndiyo Namna Pekee ya Kuwa na Amani Katika Maisha Yako

Featured Image
Ifahamu namna Pekee ya kuwa na amani katika maisha Yako. Jifunze Kitu Hapa na kufuata njia hii. Hakika utakua na Amani.
100 💬 ⬇️

Mipango ya Mungu kwetu sisi wanadamu

Featured Image
Mipango ya Mungu daima ni myema, Mungu anapanga Mema katika maisha ya mtu kama akifuata mapenzi yake. Tatizo ni kwamba watu wanafuata mapenzi yao wenyewe na kisha kukosa yale mema Mungu aliyopanga kwao.
100 💬 ⬇️

Unafahamu kuwa Imani ni Cheti cha Kuweza Kupata Yote?

Featured Image
Imani ni njia ya kuweza kupata yote. Unachohitaji ni Imani. Naam kuwa na uhakika na unachokitarajia.
100 💬 ⬇️

Mungu Anakuita Na Kukupa Nafasi Ya Kutubu Na Kumrudia Yeye Ili Akusamehe na Kukubariki

Featured Image
Unaalikwa kutubu na kumrudia Mungu kwa Moyo Wako wote na kwa nia dhabiti. Mungu atakusamehe dhambi zako na kukufanya kuwa mpya. ...Ingekuwa heri leo usikie sauti yake! Usifanye moyo wako kuwa mgumu.
100 💬 ⬇️

Tafakari ya leo kuhusu Uaminifu

Featured Image
Uaminifu ni kipimo na kigezo cha Ukamilifu na Utakatifu. Uaminifu ni ishara ya Upendo na tunda la uvumilivu. Uaminifu ni alama ya ushirika na Umoja.
100 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About