Log in to access your menu with tools for managing 📝 tasks, 👥 clients, 💰 finances, 📖 learning, 🔍 personal growth, and 🌟 spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Meseji ya kumtumia dia wako kumuonyesha jinsi unavyompenda
Updated at: 2024-05-25 15:23:18 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na liku2miwa vbaya halna maana wala thaman. neno hlo haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2 Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi Mwenyewe Silijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus. Nakupenda Xana Dia
Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani, Raha ya Ndege ujumbe nakupa mpelekee mwandani iwapo hukumkuta msubiri mlangoni, Usije ukaondoka hakuchinji asilani, Mwambie namkumbuka hatoki mwangu moyoni. ucku mwema
Updated at: 2024-05-25 15:37:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani,
Raha ya Ndege ujumbe nakupa mpelekee
mwandani iwapo hukumkuta msubiri mlangoni,
Usije ukaondoka hakuchinji asilani,
Mwambie namkumbuka hatoki mwangu moyoni.
ucku mwema
Ujumbe mzuri wa kimapenzi wa kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda kweli
Updated at: 2024-05-25 15:25:14 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe" nakupenda laazizi "Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati mawazo yangu yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla yako je wewe ungekuwepo nayo ungempa nani kwanza? "
Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angani na nimetafuta mti wa kutua kila pembe ya dunia lakini sijaupata bado. Je naweza nikatua kwako?
Updated at: 2024-05-25 15:37:25 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angani na nimetafuta mti wa kutua kila pembe ya dunia lakini sijaupata bado. Je naweza nikatua kwako?
Updated at: 2024-05-25 15:26:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako ,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini hawajapata wa kuwaowa