Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week (Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
237 💬 ⬇️

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Featured Image
236 💬 ⬇️

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa. MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
237 💬 ⬇️

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Featured Image
238 💬 ⬇️

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image
Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani peke yake. Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama {confess} "Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana." Padri, "Endelea…"
236 💬 ⬇️

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Featured Image
238 💬 ⬇️

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Featured Image

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku

JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa 

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About