Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu bibi kazidi sasa

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Muda mzuri wa kulipa mahari

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Featured Image
Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

ย 

237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About