Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

236 💬 ⬇️

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Featured Image
236 💬 ⬇️

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Safari ni safari

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Featured Image
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
236 💬 ⬇️

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Featured Image
236 💬 ⬇️

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Featured Image
POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when u saw me u started 2 six six.(uliponiona ulianza ku-sitasita) u ran n decided 2 plant a car.
237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About