AckySHINE AckySHINE
Menu
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Wanawake hii nayo ni romantic ?💞

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Featured Image
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja, Mhudumu: kaka nikuhudumie nini, Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
237 💬 ⬇️

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Featured Image
238 💬 ⬇️

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Featured Image
238 💬 ⬇️

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Featured Image
237 💬 ⬇️

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Featured Image
237 💬 ⬇️

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About