Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Mwizi kawezwa ki kwelii

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Featured Image
242 💬 ⬇️

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Featured Image
236 💬 ⬇️

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

 

236 💬 ⬇️

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Featured Image
Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ileee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema
237 💬 ⬇️

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Featured Image
237 💬 ⬇️

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18

237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About