Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani
By SW - Melkisedeck Shine |
August 3, 2021
Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile hitakua imembeba rais kichaa mwenzake akajibu hapana ile imebeba wazungu kama ingekuwa imembeba rais ungeona mapikipiki mbele