Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka
By SW - Melkisedeck Shine |
July 30, 2021
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka macho๐, akaenda hospital akawekewa macho ya paka๐๐ฑ,
dokta akamuuliza: vipi saizi unaona?
jamaa: naona ila naona panya tu
๐๐๐๐๐