Kuna jamaa alipata ajali akapofuka macho๐Ÿ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka๐Ÿˆ๐Ÿฑ, dokta akamuuliza: vipi saizi unaona? jamaa: naona ila naona panya tu ๐Ÿ‘€๐Ÿ€๐Ÿ๐Ÿ€๐Ÿ‘€