Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?

Inakataza;

1. Uroho
2. Uchu wa mali
3. Kijicho
4. Tamaa mbaya ya kujipatia mali


Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru nini

Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine na kumpenda Mungu kupita vitu vyote. (Mk 28:30).