Je, kuna madhara gani usipooga baada ya kujamiiana?
By SW - Melkisedeck Shine |
April 17, 2022
Hakuna madhara yoyote ya msingi anayopata mtu asipooga baada ya kujamiiana. Isipokuwa kwa ajili ya kutunza usafi, mnashauriwa kunawa via vya uzazi mara baada ya tendo la kujamii ana.