ACKYSHINE ARTICLE Β· PRINTABLE READER

Dalili za homa ya dengu (Dengue fever)

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… April 15, 2022πŸ’¬ 0 comments
πŸ—‚οΈ Baini Siri za Kuwa na Afya Bora na Utimamu#Karibu AckySHINE#SMS, Vichekesho, Mahusiano, Biashara na Ujasiriamali, Afya, Chemsha Bongo, Dini pamoja na Vitabu kwenye PDF🌐 Kiswahili
Dalili za homa ya dengu (Dengue fever)

Dengue ni moja kati ya homa kali inayodhoofisha na kuambatana na maumivu makali. Kwa sasa hakuna kinga ya homa ya dengue, njia pekee ya kuepuka ugonjwa huu ni kuzuia kuumwa na mbu anayesambaza homa ya dengue.

Dalili za ugonjwa huu ni;

β€’Homa kali ya ghafla

β€’Maumivu makali ya kichwa

β€’Macho kuuma

β€’Maumivu ya viungo

β€’Kichefuchefu

β€’Kutapika

β€’Vipele ambavyo hutokea siku nne baada ya homa kuanza

β€’Kutoka damu puani, kwenye fizi na kuchubuka kirahisi

Mara nyingi dalili huwa sio kali na wengi hudhania ni homa ya mafua au maambikizi mengine ya virusi. Dalili hizi huanza kutokea baada ya wiki mbili, lakini kwa wengi huchukua wiki moja ya kwanza na tayari utaanza kuona dalili za dengue.

βœ…
Direct PDF download

The download button now generates the PDF on the server. It no longer depends on an off-screen browser canvas, so the former blank-PDF capture path is bypassed.