ACKYSHINE ARTICLE

Matumizi ya Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… April 10, 2022πŸ’¬ 0 comments

Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;

  1. Loweka lozi 5 mpaka 6 kwenye kikombe cha maji kwa usiku mmoja
  2. Asubuhi menya hizo lozi na uzisage
  3. Chukua hizo lozi ulizosaga na uweke ndani ya kikombe cha maziwa
  4. Chemsha mchanganyiko huu kwa dakika kadhaa
  5. Kunywa kinywaji hiki kila siku asubuhi