ACKYSHINE ARTICLE

Matumizi ya Tangawizi kutibu shinikizo la chini la damu

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… April 10, 2022πŸ’¬ 0 comments

Hatua za kufuata

  1. Chukua Kijiko kikubwa kikubwa cha tangawizi mbichi iliyoparuzwa
  2. Changanya na Kikombe kimoja cha maji ya moto
  3. Chemsha katika moto kwa dakika 12 hivi
  4. Kisha ipua na uchuje
  5. Ikipoa kidogo kunywa yote,
  6. fanya hivi mara 2 kwa siku kila siku