Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu
By SW - Melkisedeck Shine |
March 17, 2022
Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??. Alipoulizwa atafanya nini na hela nyingi hizo Akasema anataka kupanua shughuli zake. Mimi sijamuelewa na sasa hivi watu wameanza kuhama mtaa… 😂😂