πJE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?
Mpenzi msomaji, kumekuwa na tuhuma nyingi dhidi ya wakatoliki kwamba wanaabudu sanamu. Je, tuhuma hizo zina ukweli gani? Hilo ndilo swali tunalotaka kujibu leo.Amri ya kukataza ibada kwa sanamu imewekwa wazi katika Biblia Takatifu, Kutoka 20:4-5, βUsijifanyie sanamu ya miungu wa uongo, au kinyago chβ¦
Open printable article βπJe Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?
Mapokeo kuhusu Bikira Maria yanaonyesha alikuwa binti pekee wa wazee watakatifu Yohakimu na Ana. VilevileMt. Yosefu, ingawa kisheria alikuwa mume wake, hakutenda naye tendo la ndoa hata moja. Ndiyo maana kwenyelitania yake tunamuita mwenye usafi kamili. Yosefu likufa kabla Yesu hajaanza utume kwa kuβ¦
Open printable article βπMafundisho Kuhusu Bikira Maria
DOGMA ZA KANISA KATOLIKI KUHUSU BIKIRA MARIA.Kuna mafundisho makuu mannekumhusu Bikira Maria ambayo ni lazimakila Mkatoliki ayasadiki kutokana naufunuo wa Mungu: 1. B. Mariamkingiwa dhambi ya asili 2. B. MariaMama wa Mungu 3. B. Maria Bikiradaima 4. B. Maria kupalizwa mbingunimwili na rohoMKINGIWA Dβ¦
Open printable article βπIshi kama Penseli ili uwe mtu bora
<p>Muumbaji wa penseli alipomaliza kuiumba penseli yake aliiambia mambo muhimu ya kuzingatia ili iweze kuwa penseli bora kabla hajaituma kuingia kazini kwa matumizi.</p><p>βKuna vitu sita unatakiwa uvitambue, β Aliiambia penseli,</p><p>βKabla sijakutuma kwenda kutumika, unatakiwa uviweke akilini vitu hivyo na usivisahau kamwe. Vitakusaidia siku zote na utakuwa penseli bora maisha yako yote.β</p><p>Alisema muumbaji wa penseli.</p>
Open printable article βπSwala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?
JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?Pengine umewahi kuulizwa swali hili wakati fulani.Na jibu lake ni kama ifuayavyo:Mtu anapouliza kila kitu kimeandikwa wapi katika Biblia ni kudhihirisha kutokuijua au kuielewa vizuri Biblia Takatifu na β¦
Open printable article βπUnayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio
Majilio (pia: Adventi ) ni kipindi cha liturujia yamadhehebu mbalimbali ya Ukristo (kama vileKanisa Katoliki, ya Waorthodoksi , Waanglikanana Walutheri ) kinatangulia sherehe ya Noeli nakuanza mwaka wa liturujia. Kinaweza kudumukati ya siku 22 na 40. Jina lake kwa Kilatini ni adventus maana yakeujioβ¦
Open printable article βπHistoria Fupi ya Ibada ya Rozari
Katika Kalenda ya Kanisa Katoliki,huwa mwezi wa tano na mwezi wa kumini miezi ambayo imewekwa kwa ajili yaBikira Maria na Mama Kanisa. Hivyohiyo miezi huwa inasaliwa rozari.Wengi waweza kujiuliza kuwa ni kwanini ifanyike miezi hiyo? Yafuatayo nimajibu, mwezi wa tano umewekwa kwaheshima ya Bikira Marβ¦
Open printable article βπBiblia inatuambia nini kuhusu pombe?
<p>Angalizo; Tunapoongelea kuhusu pombe sio kwamba tunahamasisha kutumia pombe bali tuelewe kile tunachofanya kwa mapenzi ya Mungu!<br />pombe haikukataliwa ila itumike kwa kiasi.</p><p>Mhubiri 9:7<br />Wewe enenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.</p>
Open printable article βπUzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki
<p>Uzinzi na uasherati wakati huu umekuwa ndio sumaku kuu ya kuwanasa watu ili waende jehanamu.</p><p>Sumaki hii imewanasa hata ambao hawakutegemewa wala kutarajiwa.</p><p>Uzinzi uzinzi uzinzi umekuwa kama perfume ya kujipulizia kila Mara mtu akipenda.</p><p>Uasherati umekuwa kama heshima ya kibinadamu kwa vijana wengi.</p>
Open printable article βπMAFUNDISHO MUHIMU KUHUSU MWILI NA DAMU YA YESU KRISTU | BIBLIA INAVYOELEZA KUHUSU EKARISTI
Yafuatayo ni maswali yatakayotuongoza kwenye mada yetu Yesu alituambia nini kuhusu Mwili wake na damu yake? Yesu alituambia hivi βBaba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa. 50Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbingβ¦
Open printable article βπKila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki
<p>Kila kitu ni mali ya Mungu.</p><p>Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.</p><p>Hata mimi mwenyewe ni mali ya Mungu.</p>
Open printable article βπUelewa wa namba katika Biblia
<p>Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ni Neno la Mungu. Hivyo mwandishi wa Biblia ni Mungu kupitia wanadamu (God is the primary author of the Bible while human authors are secondary authors). Mungu aliwavuvia (inspiration by the Holy Spirit) waandishi wanadamu ili waweze kuandika kile tu ambacho Yeye (Mungu) alitaka kiandikwe kwa ajili ya wokovu wa wanadamu.</p>
Open printable article βπMaana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke
<p>NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio mahali pa kupunguzia shida. Ndoa sio mbadala wa elimu na michakato ya kimaisha. Huolewi ili kupunguza adha za maisha. NDOA ni jukumu zito kuliko hata kusoma masters degree ya Neuro-surgeon. Wengi hamjaweza kumudu maisha yenu binafsi na bado mnalilia Mungu kuwaongezea jukumu la kumeneji maisha ya mtu mwingine.</p>
Open printable article βπMbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu
<p>1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa hapo kwisha habari yako</p><p>2. Kufanya umwogope shetani na nguvu zake kuliko unavyompenda MUNGU. Wakristo wengi leo hii husali na kuomba kwa nguvu mno siyo sababu wanampenda MUNGU mno hapana ni sababu wanamwogopa shetani na majeshi yake</p>
Open printable article βπSoma stori hii, unaweza ukajifunza kitu
<p>Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,<br />wakiwa katikati ya safari yao meli ilianza<br />kuzama. Watu wengi pamoja na rafiki wa yule<br />kijana walikufa maji wakati wanajaribu kujiokoa<br />kwa kuogelea, lakini yule kijana alifanikiwa</p>
Open printable article β