πNjia 3 rahisi za kuondoa kitambi
JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?FANYA HAYA;1. Kopa mkopo mkubwa benki2. Nunua gari bovu la biashara3.Oana na mke mwenye kelele.Ukiona miezi mitatu hakijaisha basi ujue umevimba BANDAMA sio kitambi..
Open printable article βπUtani wa wahindi, cheka kidogo
Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili(1) Mfa maji ?β¦β¦β¦β¦β¦β¦.. Tampa life jacket.(2) Mwenda pole?β¦β¦β¦β¦ Tachelewa fika.(3) Usipoziba ufa ?β¦β¦β¦.. Mizi taona mpaka dani.(4) Usilolijua ?β¦β¦β¦β¦β¦β¦ Uliza google.(5) Mbio za utelezini ?β¦β¦. Chafua guo yako.(6) Ukipenda boga ?β¦β¦β¦ Ngoja mezi ya ramzani tapata.(7) Ukiona β¦
Open printable article βπUngekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapβ¦
Open printable article βπMisemo ya kina dada
Misemo ya kina dadawalianza na halohalooo!Wakaja unalo babu weee!Ikafuata utajijuuu!Ikafupishwa utajiJJ!Mara ghafla kantangazeee!Haikukaa sana kansajiriii!Ikatoka nyingine nishiiiiida!Unaijua iliyotoka Leo?Heh! Heh! Heeeh! MB zenyewe 8 nikudownload unanini?
Open printable article βπUnakumbuka hizi enzi za utoto?
Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika1. UGALI NA KUNDEMwitaji : π£JoniiiiiMwitikiaji : EeehMwitaji : Uje ukule2. UGALI NA SAMAKIMwitaji: π£ we JoniiiiMwitikiaji : EeehMwitaji : Unaitwa na Mama3. WALI NA NYAMA/KUKUMwitaji: β¦
Open printable article βπKilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini
<p>Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;<br />MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?<br />MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?</p>
Open printable article βπMisemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi
1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu. 2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu. 3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara? 4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria. 5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika β¦
Open printable article βπHuyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu
Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani. Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale. Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/= Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kβ¦
Open printable article βπAskari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande
Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa
Open printable article βπHuyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: we nani kwani?
Polisi::: sisi polisi
Jamaa::: mnataka nini?
Open printable article βπAngalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?
Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
Open printable article βπHuyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
Open printable article βπUfugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.
MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini⦠Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
Open printable article βπSoma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?
Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,
Open printable article βπMkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana
<p>Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?</p><p>Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"</p>
Open printable article β