πTabia za wachepukaji
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.2.Inbox na sending items hufutwa kilawakati.3.Ukimuomba simu yake ghafla lazimaakwambie hebukwanzaβ¦β¦.4. Kamwe haiiti always vaibration.5. Namba nyingi ha save.6. Kuna simu hapokei hataiwejeβ¦.anapenda sms zaidi7.Majina mengi kweβ¦
Open printable article βπHali za ndoa
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez haβ¦
Open printable article βπHawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πππ
Marafiki wawili (Jose na Ben) walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:Ben: Muone yule mrembo amenirushia busuJose: tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..(baadae yule mwanamke akβ¦
Open printable article βπDuh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; "chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE". Unafikiri atakuwa amekula nini?
Open printable article βπHii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa
Wazazi wengine wanaandika MBWAβMKALI kwenye geti lao kama binti wao ana miaka 18..Binti akifika miaka 30 na hajaolewa wanapabadilisha na kuandika TUNAUZA BARAFUππππππππππππππ
Open printable article βπBREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika
HABARI MPASUKO..jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuβ¦
Open printable article βπWadada acheni hizo
Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako unamfumania na kimada mmoja tu ugomvi na amani imapotea ndani ya nyumba,unasimulia kuanzia padri,mchungaji,ukoo wako mzima,mashoga, stress,vidonda vya tumbo,inapelekea mpaka unaokoka,eti kisa kamuonjesha β¦
Open printable article βπTofauti ya mke na mchepuko!!!
MKE NA MCHEPUKO.Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakβ¦
Open printable article βπAngalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama
USIJIONE MJUAJI SAAAAβ¦NA.Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufikanyumbani.kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamuakurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumiasheria za arthematic nβ¦
Open printable article βπAngalia anachokisema Madenge sasa
MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".MADENGE akasimama peke yake.MWALIMU: Wewe ndio mjinga?MADENGE: Hapana, ila nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya angalau tuwe wawili.
Open printable article βπAngalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?
Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwalimu akaona ngoja amuulize.Mwalimu: Mbona unachelewa kila siku?Mwanafunzi: Nakaa mbali mwalimuMwalimu: (huku ana hasira akauliza)Mbali mbinguni?Mwanafunzi: Mbinguni kwa mbeleπππππ
Open printable article βπMimi ndio nimeelewa hivi!
Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"Nikajua huyu mtu lazima alikuaga na Range Roverππππππ
Open printable article βπCheki huyu dingi alivyo mnoko
Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pckt mny" ndo nini? Unamjibu ni kifupi cha "pocket money" af ankutumia 10,000, unamuuliza hiyo hela ni ya nini? Anakwambia ni kifupi cha 100,000.Hapo ndo unatamani kuchoma shule ufe.
Open printable article βπHuyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa
*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_*Massai:* _safi rafiki_*Mdukuzi:* _nikikuuliza swali unaakili ya kujibu?_*Massai:* _ulisa acha maneno yako._*Mdukuzi:* _nitajie wanyama kumi wa porini_*Massai:* _swala watatu na tembo saba_ππππππππΏ
Open printable article βπDuh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu
```Nimetoka interview hapa ya job flaniWameniuliza "so how far did you go with your education?", nikawaambia.. """""I didn't go very far because our school was just behind our house"""wameniambia ningojee watanipigia!```β¦β¦.π *your prayers plz*
Open printable article β