πJinsi ya kupika Mkate
MahitajiUnga wa ngano ( self risen flour) kikombe 1 na 1/2Hamira (yeast) 1 kijiko cha chaiSukari (sugar) 1 kijiko cha chakulaChumvi (salt) 1/2 kijiko cha chaiSiagi iliyoyeyushwa (melted butter) 1 kijiko cha chakulaMaji ya uvuguvugu ( warm water) kiasiMatayarishoChanganya vitu vyote katika bakuli kubβ¦
Open printable article βπJinsi ya Kupika skonzi
MahitajiUnga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)Sukari (sugar 1/2 kijiko cha chakula)Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)Hamira (yeast 1/2 kijiko cha chakula)Baking powder 1/2 kijiko cha chaiSiagi (butter 1/4 ya kikombe cha chai)Maziwa (fresh milk 3/4 ya kikombe cha chai)(unaweza kutumia majβ¦
Open printable article βπMapishi ya Chapati za Kusukuma kitaalamu
MahitajiUnga wa ngano (plain flour 1/2 of kilo)Siagi (butter vijiko 2 vya chakula)Yai (egg 1)Chumvi (1/2 ya kijiko cha chai)Hiliki (ground cardamon 1/4 ya kijiko cha chai)Maji ya uvuguvugu (warm water)Mafuta (vegetable oil)MatayarishoWeka unga wa ngano katika bakuli la kukandia, kisha tia chumvi na β¦
Open printable article βπJinsi ya kupika Mkate wa sinia
MahitajiUnga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai)Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha chakula)Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko cha chai)Ute wa yai 1(egg white)Tui la nazi (coconut milk kikombe 1 na 1/2 cha chai)Mafuta (vegetable oil)MatayarishoChanganya ungβ¦
Open printable article βπMapishi ya Chai ya maziwa, mandazi, uyoga na mayai
MahitajiMandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)Mayai (eggs 4)Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)Nyanya (fresh tomato 1)Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)Chumvi (salt)Mafuta (vegetable oil)Hiliki nzima (cardamon 4)Masala ya chai (tea masala 1 kiβ¦
Open printable article βπMapishi ya Chicken Satay
MahitajiKidali cha kuku 1 (chicken breast)Kitunguu maji 1/2 (onion)Kitunguu swaum/tangawizi (garlic and ginger paste) 1 kijiko cha chaiLimao ( lemon)1/4 kijiko cha chaiCurry powder 1/4 kijiko cha chaiPilipili ya unga kidogo (Chilli powder)Coriander powder 1/4 kijiko cha chaiSoy sauce 1kijiko cha chaβ¦
Open printable article βπMapishi mazuri ya Chapati za maji
MahitajiUnga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)Yai (egg 1)Sukari (sugar 1/4 kikombe cha chai)Chumvi (salt 1/4 kijiko cha chai)Hiliki (ground cardamon 1/4 kijiko cha chai)Maji kiasiMafuta (vegetable oil)MatayarishoTia unga kwenye bakuli, kisha weka sukari, chumvi, hiliki na maji kiasi. Kisha koroga mβ¦
Open printable article βπMapishi mazuri ya Uji wa ulezi
MahitajiUnga wa ulezi (millet flour vijiko 3 vya chakula)Maziwa fresh (milk 1/2 kikombe)Sukari (sugar 1/4 ya kikombe cha chai)Siagi (butter kijiko 1 cha chakula)Maji (vikombe 4 vya chai) (serving ya watu wawili)MatayarishoChemsha maji ya uji, Kisha koroga unga na maji ya baridi kiasi na uchanganye kβ¦
Open printable article βπJinsi ya kupika vitumbua inavyotakiwa
MahitajiUnga wa mchele ( Vikombe 2 vikubwa)Sukari (Nusu ya kikombe kikubwa)Hamira ( Nusu ya kijiko cha chai)Hiliki (Nusu ya kijiko cha chai)Tui la nazi ( Kikombe kimoja kikubwa)Unga wa ngano (Vijiko viwili vya chakula)Mafuta ya kuchomea (Vegetable oil)MatayarishoUnachanga unga, sukari, hamira, hilikβ¦
Open printable article β