PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

Biashara - Mbinu za Ujasiriamali na Biashara Kufanya tofauti Β· 71

πŸ“„

Kushindwa au vikwazo sio sababu ya kutofanikiwa

<p>"Nilibakwa nikiwa na miaka 9 lakini leo mimi ni mmoja wa wanawake wenye ushawishi mkubwa duniani"- OPRAH WINFREY!</p><p>"Sikumaliza elimu yangu ya Chuo Kikuu lakini mimi ndiye binadamu tajiri kuliko wote duniani" - BILL GATES!</p><p>"Nilikuwa napata matokeo mabaya sana darasani wakati nilipokuwa shule ya msingi lakini bado mimi ni Daktari Bingwa wa Upasuaji duniani" - DR. BEN CARSON!</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI

<p>Karibuni;<br />1. Kununua Mashine za kukoroga zege na<br />kukodisha.<br />2. Kununua Mashine za kukata vyuma na<br />kuzikodisha.<br />3. Kutengeneza na kuuza tofali<br />4. Ufundi, Website updating/Database: Katika<br />Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya<br />na Makampuni mbalimbali.<br />5. ** Kuanzisha kituo cha redio na televisheni</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Ujumbe wa leo kwa mtu anayetaka kufanikiwa katika maisha kiuchumi

<p>Kila mtu aliyefanikiwa ukifuatilia historia yake pengine unaweza kukata tamaa kabisa Na kusema mimi hii njia siiwez.</p><p>Lakin siri ya mafanikio ni uvumilivu Na kujituma ktk kazi uifanyao.</p><p>Ni kweli vijana wengi humaliza vyuo Na kusubiri ajira wanashindwa kusoma alama za nyakati, hawatambui kuwa sasa wasomi ni wengi sana ajira chache.</p><p>Mimi pia ni mwanafunzi wa Chuo kikuuu lakini ni mjasiri amali vilevile.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

USHAURI WANGU ANZA KUAJIRIWA KAMA MUWEKEZAJI TU ILI UJIAJIRI NA KUAJIRI WENGINE

<p>Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako (yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo" wa kuupangia matumizi ya huo ujuzi wako.</p><p>Ndio maana licha ya kwamba elimu ni yako wewe, maarifa ni yako wewe, vyeti ni vyako wewe; na kazi unafanya wewe; lakini hao waliokuajiri ndio wanakuamulia kiasi gani wakulipe! Si hivyo tu bali pia wanao uhuru wa kukupiga mkwara, kukutishia na hata kukufukuza muda wowote (utakapowakosea, watakapojisikia ama watakapokuchoka)! Nini nakwambia? Kama umeajiriwa, usiridhike wala usibweteke na mshahara pekee kwa 100%, hebu jiongeze aiseee, una uwezo wa kuzalisha zaidi sambamba na mshahara (waliojisikia) kukulipa.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia jinsi muda wako unavyopotea

<p>Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka.</p><p>Katika hayo masaa 24 unayoyapata kila siku unayatumiaje katika suala zima la kukufikisha katika ndoto na malengo au mafanikio yako?</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Elimu tuu haitoshi kukunufaisha maishani na kukupa mafanikio

<p>✍🏽Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa.</p><p>πŸ‘‰πŸΎKatika miji na maeneo yote; wenye majengo ya maana, wenye makampuni makubwa, wenye utitiri wa malori na mabasi, wenye maduka makubwa ni wale wa "darasa la saba” au wale ambao hawakuingia darasani kabisa</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Jinsi ya kutengeneza mishumaa

<p>MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA WAKATI WA UTENGENEZAJI WA MISHUMAA.</p><p>1. Paraffin Wax<br />2. Utambi<br />3. Mould ( Umbo )<br />4. Stearine au mixture<br />5. Rangi<br />6. Jiko la mafuta ya taa au mkaa.<br />7. Sufuria.<br />8. Boric acid.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Kanuni ya fedha ya matumizi na mipango ambayo itakusaidia ukiifuata

<p>Jifunze kanuni za fedha<br />kama ilivyoainishwa hapo chini.<br />Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kutumia<br />Hii kanuni inatumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Kauli 10 za mtu ambaye unatakiwa umuepuke maishani

<p><strong>Kauli 10 za mtu asiye na malengo wala uthubutu</strong><br />1)Sina mtaji<br />2)Sina Connection<br />3)Nitaanza rasmi kesho<br />4)Mimi ni wa hivihivi tu</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Usiruhusu tabia hii itawale akili yako

<p>Tabia ya kijidharau na kujiona hufai ama huwezi kufanya lolote ukafanikiwa maishani, hakuna mwanadamu aliyeumbwa ili ashindwe,, sote tu washindi zaidi, tunatofautiana njia za kufikia huo ushindi.</p><p>Rafiki yawezekana umeshajidharau… na kujitamkia maneno kadha wa kadha ambayo kimsingi yamekukatisha tamaa kabisa ya kufikia lengo fulani maishani… na ukabaki kushuhudia mafanikio ya wengine kila siku maishani.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Mbinu 5 za kukunufaisha maishani

<p>Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa.</p>

Open printable article β†’