PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

Biashara - Mbinu za Ujasiriamali na Biashara Kufanya tofauti Β· 71

πŸ“„

Siri ya mafanikio katika maisha Ni Kutoangalia Watu

Baada ya kusoma makala kuhusu hofu zinazotugharimu katika safari ya mafanikio, Leo nimekuandalia Makala hii ya Siri ya mafanikio. Katika safari ya mafanikio, watu wanaweza kuwa kikwazo kikubwa kinachosababisha ugumu wa kuendelea mbele. Wanaweza kuleta upinzani, kukosa imani, au hata kuzua vikwazo vi…

Open printable article β†’
πŸ“„

Ujumbe kwako wewe mwajiriwa au uliyejiari

<p>Kama umeajiriwa au pia umejiajiri ni mojawapo ya njia zinazokuingizia kipato maana wengi wanaanzia hapo mpaka kuja kufikia kule wanakohitaji.<br />Ila kuna maswali machache ya kukupa changamoto ambayo nataka ujiulize:-</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Umasikini isiwe sababu wala utajiri isiwe sababu ya kuwa mchafu au kutokuwa na usafi

<p>Umasikini sio sababu ya kuwa mchafu wala utajiri Sio kuwa na kila kitu hata kama hukihitaji. Hebu angalia hapo nyumbani kwako!</p><p>Vitu msivyovihitaji Leo wala kesho mmeweka vya nini? Umenunua makochi mapya Yale ya zamani mmegawana vyumbani mnaishia kurundika minguo hapo na kufuga mipanya.</p><p>Godoro umenunua jipya la zamani umeviringisha juu ya kabati. Kabatini kwako kuna nguo ulivaa ukiwa secondary mpaka Leo unazo eti ukumbusho au utazivaa ukipungua.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Mambo ya kufanya mwezi Disemba

<p><strong>Ikiwa leo ni tarehe **1/12</strong>Β huwezi amini kuwa hakuna tarehe 1 nyingine tutakayoiona ya mwaka huu hivyo sichelei kusema kuwa mwaka umeisha .Lakini mwaka unaishaje??? pengine hili ndilo swali gumu na la muhimu la kujiuliza .Je, Mwaka unaisha ukiwa umefanya nini cha kujipongeza??? .Je mwaka unakaribia kuisha maarifa yako yakiwa yameongozeka kwa kiasi gani???.Haya ni maswali muhimu sana unavyooanza kufikiria juu ya sherehe za mwisho wa mwaka.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Unashangaa kwa nini hufanikiwi?

<p>Sikia haihitaji ukalishwe chini ndo uelewe, Ukweli ni kwamba unajishughulisha Sana na mambo yasiyo Kuhusu katika mafanikio.wazungu husema mind your own business sasa Sijui huu msemo unauchukuliaje?? Imagine unamjua Ali kiba hadi bafuni kwake, tour zote za mwaka huu unazijua hadi nyingine unataka kumpangia, nikuulize wewe ni mwanamziki??</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Ilinde ndoto yako

<p>Ndoto ni nini?<br />Ndoto ambayo tunakwenda kuizungumzia sio ndoto unayoota ukiwa umelala ni ndoto ya mchana.<br />Ni kile kitu unachotamani kuja kukipata siku moja kabla hujaondoka duniani Ndoto inaweza kua katika makundi ya aina mbalimbali, unaweza kua na ndoto ya kuwa Rais, Mwimbaji bora, Mchezaji bora, Mwandishi Bora, Mfanyabiashara maarufu.<br />Vile vile unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki vitu, nyumba nzuri ya kifahari sana labda ya milioni 300, Gari la kifahari sana, Unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki utajiri au kuwa Bilionea,Kutembelea nchi fulani na kadhalika.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

UJASIRIAMALI NA CHANZO CHA MTAJI

<h2>UJASIRIAMALI</h2><p><br />Ni uthubutu au ujaribu wa ufanyaji wa<br />shughuli yoyote halali na kupitia shughuli<br />hiyo mtu watu huweza kupata kipato.</p><p>Β </p><h3>MJASIRIAMALI</h3><p>Ni mtu mwenye yeyote mwenye uthubutu au<br />kujaribu kufanya shughuli yoyote<br />halali,ambapo kupitia shughuli hiyo anaweza<br />kupata kipato ambacho kitamfanya apige<br />hatua ya kimaendeleo ya kiuchumi.Shughuli<br />za kijasiliamali zinaweza kuwa za biashara<br />ya uzalishaji mali au bidhaa.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Ni vizuri kujua haya

<p>πŸ‘‰πŸΏDegree au vyeti ulivyo navyo haviwezi kukupa mafanikio.<br />πŸ‘‰πŸΏUzuri ulio nao hauwezi kukupeleka kwenye ndoto zako.<br />πŸ‘‰πŸΏUsipobadilisha hao marafiki ulio nao hutofika mahali popote.</p><p>πŸ‘‰πŸΏUsipobadilisha vitendo unavyovifanya kila siku hivyo hivyo mafanikio utayasikia kwa wengine.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Njia 8 za kupata mtaji kwa ajili ya Biashara yako

Njia hizo ni kama ifuatayo!! 1. Mtaji mbadala Mtaji mbadala unarejelea rasilimali au mbinu ambazo zinaweza kutumika badala ya fedha katika kuendeleza biashara au mradi fulani. Ni muhimu kuelewa kwamba si kila hatua inahitaji matumizi ya fedha taslimu. Kuna nyakati ambapo unaweza kutumia rasilimali z…

Open printable article β†’
πŸ“„

Kuwa na kawaida ya kujiwekea Akiba ni njia na Siri ya kuwa tajiri

<p>Watu wengi wanajiuliza, β€œSiri ya utajiri ni nini?”<br />Je ni mbinu gani zinaweza kumsaidia mtu kupata utajiri?<br />Siri kubwaya utajiri ni kujifunza elimu ya namna ya kutafuta mtaji, kuwekeza kwa busara kwa namna ambayo daima panakuwa naziada na faida.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

FURSA HAIJI MARA MBILI: Jinsi unavyoweza kupata faida au hasara ukitumia Nafasi au fursa uliyonayo

<p>Kwenye maisha fursa moja tu inatosha kabisa<br />kubadilisha hali yako ya sasa na kukuweka kwenye<br />kiwango kingine kabisa cha mafanikio.Kuna watu<br />wengi sana ambao waliwahi kufikiria kuwa maisha<br />yao yatachukua miaka mingi sana kabla<br />hayajabadilika na kwa mshangao wao walipoanza<br />kufanya vitu sahihi wakakutana na mabadiliko<br />makubwa sana katika maisha yao kwa kupitia<br />fursa moja tu.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Mambo 13 katika pesa ambayo unapaswa kuzingatia

<p>1. Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara.<br />Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba yake.</p><p>2. Usitumie pesa ambayo bado haipo mikononi mwako.<br />Wala usije ukamuahidi mtu kumpa pesa ambayo umeahidiwa mahali fulani.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Usiyoyajua kuhusu pesa haya hapa

<p>Habari za Leo Rafiki yangu wa Muhimu sana. Ni furaha yangu kujua unaendelea vyema sana na majukumu yako.</p><p>Ni wakati mwingine tena tunaenda kujifunza pamoja juu ya mambo mbalimbali ili tuweze kufikia mafanikio kila siku. Leo tunakwenda kujifunza kuhusu pesa na utajua mambo mengi sana juu ya pesa.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Tabia za kuepuka ili uweze kuwa tajiri

<p>"Umasikini hauji kwa bahati mbaya kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)</p><p>"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Hichi ndicho unatakiwa uwe nacho kulingana na umri wako

<p>20 - 25 =Iwe kama ni kielimu hujafikia malengo yako,sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya,pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako.</p><p>25 - 30 = Hakikisha uwe na angalau na SHUGHULI RASMI kama umeajiliwa au umejiajili.</p><p>30 - 35 = Uwe na angalau kama sio nyumba basi kiwanja,tena ujitahidi uwe umeoa/umeolewa kama sio kuishi nae,tena si mbaya ukawa umeshatengeneza familia,kwa maana ya kuwa na watoto kama mungu kakuwezesha.</p>

Open printable article β†’