πJinsi ya Kupika Kalmati
MahitajiUnga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)Hamira (yeast kijiko 1 cha chai)Sukari (sugar 2 vikombe vya chai)Hiliki (cardamon 1/4 ya kijiko cha chai)Maji kikombe1 na 1/2MafutaMatayarishoChanganya unga, hamira, maji na mafuta kijiko 1. Koroga vizuri mpaka upate uji mzito usiokuwa na maβ¦
Open printable article βπMapishi ya Sponge keki
MahitajiUnga wa ngano (self risen flour) 100gSukari (sugar) 100gSiagi isiyokuwa na chumvi (unsalted butter) 100gMayai (eggs) 2Vanila 1 kijiko cha chaiChumvi pinchWarm water 3 vijiko vya chakulaMatayarishoKwanza washa oven moto wa 200 C. Baada ya hapo saga butter na sukari mpaka viwe laini kisha tia β¦
Open printable article βπMapishi ya mboga mchanganyiko
MahitajiViazi ulaya 4 vya wastaniHoho jekundu 1/2Hoho la njano 1/2Hoho la kiajani 1/2Njegere 1 kikombe cha chaiCarrot 1 kubwaBroccoli kidogoCauliflower kidogoKitunguu 1Nyanya 1/2 kopoSwaum/tangawizi 1 kijiko cha chakulaCurry power 1 kijiko cha chakulaCoriander powder 1 kijiko cha chaiTarmaric 1/2 kiβ¦
Open printable article βπMapishi ya choroko
MahitajiChoroko kikombe 1 na nusuNazi kopo 1Kitunguu kikubwa 1Nyanya 1/2 kopoSwaum 1 kijiko cha chaiCurry powder 1 kijiko cha chaiChumvi kiasiOlive oilPilipili nzimaMatayarishoLoweka choroko usiku mzima kisha zichemshe mpaka ziive na ziweke pembeni. Baada ya hapo saga pamoja nyanya, kitunguu, na swaβ¦
Open printable article βπJinsi ya kuandaa Ndizi Mbichi Za Supu Ya Nyama Ngβombe
MahitajiNdizi mbichi - KisiaNyama ngβombe - Β½ kiloPilipili ya kusaga - 1 kijiko cha chaiTangawizi ya kusaga - 2 vijiko vya supuThomu (garlic/saumu) - 1 kijiko cha supuBizari mchuzi - 1 kijiko cha chaiNazi ya unga (ukipenda kuongezea) - 2 vijiko cha supuChumvi - KiasiNdimu - 1 kamuaNamna Ya Kutayarisβ¦
Open printable article βπJinsi ya kupika Biriani Ya Nyama Mbuzi Ya Mtindi Na Zaafaraan
Vipimo - NyamaNyama mbuzi - 1 kiloKitunguu menya katakata - 1Nyanya/tungule - 2Thomu (kitunguu saumu/garlic) saga - 5 chembeTangawizi mbichi β kuna/grate au saga - 1 kipandePilipili mbichi saga - 2Bizari ya pilau nzima (cumin seeds) - Β½ kikombe cha kahawaMdalasini - 1 kijitiKarafuu nzima - 5 chembeGβ¦
Open printable article βπMapishi ya Ndizi mzuzu
MahitajiNdizi tamu (plantain) 3-4Tui la nazi (coconut milk) kikombe 1 cha chaiSukari (sugar) 1/4 ya kikombe cha chaiHiliki (Ground cardamon) 1/4 ya kijiko cha chaiChumvi (salt) 1/4 ya kijiko cha chaiMatayarishoMenya ndizi kisha zikwangue utomvu wote. Baada ya hapo zikate kati (kiurefu) na kisha kataβ¦
Open printable article βπJinsi ya kupika Mseto Kwa Mchuzi Wa Samaki Wa Nazi
Vipimo vya msetoTanbihi: Kiasi ya vipimo inategemea wingi wa watu, unaweza kupunguza au kuongeza. Hiki ni kiasi cha watu 6 takriban.Chooko - 3 VikombeMchele - 2 VikombeSamli - 2 vijiko Vya supuChumvi - kiasiNAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKASafisha na kosha chooko utoe taka taka zote.Osha mchele kisha rβ¦
Open printable article βπJinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi
MahitajiMchele wa biriani - 5 gilasiNyama ya ngombe ya mifupa - 1 Β½ kilo na nusuVitunguu - 2 kiloTangawizi mbichi - ΒΌ kikombeThomu (saumu/garlic) - 3 vijiko vya supuMtindi - 2 vikombeNyanya ilokatwakatwa (chopped) - 3Nyanya kopo - 1 kikombeMasala ya biriani - 2 vijiko vya supuHiliki ya unga - 2 vijiβ¦
Open printable article βπJinsi ya kupika Magimbi Kwa Nyama Ya Ngβombe
VipimoMajimbi (Eddoes) kiasi 6 au 7Nyama ngβombe Β½ kilosTangawizi ilosagwa 1 kijiko cha kuliaHaldi (bizari manjano/turmeric) Β½ kijiko cha chaiTui zito la nazi vikombe 2Chumvi kiasiNamna Ya Kutayarisha Na KupikaSafisha nyama kisha weka chumvi, bizari ya manjano, tangawizi mbichi, ukaushe kwanza katikβ¦
Open printable article βπMapishi ya Wali Mweupe Kwa Mchuzi Wa Kuku Wa Balti
VipimoKuku 1 mkate vipande vipandeVitunguu 3 katakata (chopped)Nyanya 5 zikatekate (chopped)Tangawizi mbichi ilokunwa au ilosagwa 1 kijiko cha kuliaThomu (kitunguu saumu) kilosagwa kijiko 1 cha kuliaBizari mchanganyiko (garam masala) kijiko 1 cha chaiJira/bizari ya pilau (cummin powder) kijiko 1 chaβ¦
Open printable article βπMapishi ya Ugali Mchuzi Wa Samaki Nguru Wa Nazi Na Bamia Za Kukaanga
Vipimo Vya Ugali:Unga wa mahindi/sembe - 4Maji - 6 takribanNamna Ya Kutayarisha Na KupikaChota unga kidogo katika kibakuli uchanganye na maji kidogo .Weka maji mengineyo katika sufuria kwenye moto.Changanya na mchanganyiko mdogo ufanya kama uji.Kisha kidogo kidogo unaongeza sembe huku unakoroga na kβ¦
Open printable article βπMapishi ya Biriani Nyepesi Kupika Ya Samaki
VipimoMchele wa pishori (basmati) - 4Vitunguu katakata - 3Nyanya (tungule) katakata vipande vikubwa - 3 -5Pilipili boga la kijani (capsicum) katakataSupu ya kitoweo au vidonge vya supu - 1Bizari mchanganyiko Garama masala - 5-7Pilipili mbichi ya kusaga - KiasiZaafarani ya maji (flavor) - 1 kijiko chβ¦
Open printable article βπMapishi ya Pilau Ya Nyama Ya Ng'ombe Na Nyanya
VipimoMchele (Basmati) - 3 vikombeNyama ya ngoβmbe - 1 kgPilipili boga - 1 kubwaNyanya - 2 kubwaVitunguu maji - 2 vikubwaKitunguu saumu(thomu/galic) iliyosagwa - 1 kijiko cha supuTangawizi - 1 kijiko cha chaiNdimu - 1Mafuta ya kupikia - Β½ kikombeMdalasini - Β½ kijiko cha chaiBinzari nyembamba - 1 kijβ¦
Open printable article βπMapishi ya Wali Wa Nyanya Wa Kukaanga
VipimoMchele basmati, pishori - 3 vikombeVitunguu katakata - 2Nyanya/tungule katakata - 5 takribanViazi/mbatata menya katakata - 3 kiasiThomu (saumu/garlic) ilosagwa - 1 kijiko cha supuBizari mchanganyiko - 1 kijiko cha kuliaHiliki ya unga - Β½ kijiko cha chaiKidonge cha supu - 2Chumvi - kisiaMafuta β¦
Open printable article β