πMapishi ya Wali, mchicha wa nazi na nyama ya kukaanga
MahitajiMchele (rice 1/2 kilo)Mchicha uliokatwakatwa (spinach mafungu 2)Nyama (beef 1/2 ya kilo)Nyanya (tin tomato 1/2 ya tin)Nyanya chungu ( garden egg 3)Kitunguu swaum (garlic cloves 3)Tangawizi (ginger)Curry powderVitunguu (onion 2)Limao (lemon 1)ChumviPilipili (scotch bonnet pepper )Tui la nazi β¦
Open printable article βπMapishi ya Wali maharage,mchuzi wa samaki na spinach
MahitajiMchele (rice 1/2 kilo)Maharage yaliyochemshwa (boiled red kidney beans 1 kikombe cha chai)Samaki waliokaangwa ( 2 fried fish)Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 ya tin)Vitunguu vilivyokatwa (onion 2)Kitunguu swaum (garlic 3 cloves)Tangawizi (ginger kiasi)Limao (lemon 1/2)Chumvi (salt)Pilipili (scβ¦
Open printable article βπMapishi ya Viazi, samaki na asparagus
MahitajiViazi (potato 1/2 kilo)Samaki (fish 2)Asparagus 8Kitunguu kilichokatwa (chopped onion 1)Kitunguu swaum kilichosagwa (garlic 4 cloves)Tangawizi iliyosagwa kiasi (ginger paste)Limao (lemon 1)Giligilani iliyokatwakatwa (chopped coriander)Curry powder (kijiko 1 cha chai)Chumvi (salt)Mafuta (vegeβ¦
Open printable article βπMapishi ya Pilau ya nyama ya ng'ombe na kachumbari
MahitajiMchele (rice vikombe 3)Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)Viazi mbatata (potato 3)Vitunguu maji (onions 3)Kitunguu swaum (garlic cloves 4)Tangawizi iliyosagwa (ginger kiasi)Hiliki nzima (cardamon 4)Karafuu (clove 4)Pilipili mtama (blackpepper 4)Amdalasini (cirnamon stick 1)Binzari nyembamba nziβ¦
Open printable article βπMapishi ya Ndizi na samaki
MahitajiNdizi laini (Matoke 6)Viazi mbatata (potato 3)Samaki wabichi wa wastani ( Fresh tilapia 2)Kitunguu swaum (garlic 6 cloves)Tangawizi (fresh ground ginger vijiko 2 vya chai)Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 kopo)Vitunguu (onion 1)Pilipili (chilli 1 nzima)Chumvi (salt to your taste)Mafuta (vegetabβ¦
Open printable article βπMapishi ya Pasta za cream na uyoga
MahitajiPasta (2 na 1/2 vikombe vya chai)Uyoga (mashroom 2 vikombe vya chai)Cream (1 kikombe cha chai)Mafuta (vegetable oil)Kitunguu (onion 1)ChumviMajani ya basil (dried basil leaves 1/2 kijiko cha chai)MatayarishoChemsha maji ya kutosha kisha tia chumvi na mafuta kidogo katika hayo maji na baadae β¦
Open printable article βπMapishi ya Biriani
MahitajiMchele (rice 1/2 kilo)Nyama (beef 1/2 kilo)Vitunguu (onion 2)Kitunguu swaum (garlic 1 kijiko cha chai)Tangawizi (ginger 1 kijiko cha chai)Maziwa mgando (yogurt 1 kikombe cha chai)Hiliki nzima (cardamon 6)Amdalasini nzima (cinamon stick 2)Karafuu nzima (cloves 6)Pilipili mtama nzima (black peβ¦
Open printable article βπMapishi ya Wali na kuku wa kienyeji
MahitajiKuku wa kienyeji (boiler chicken 1)Mchele (rice 1/2 kilo)Nyanya ya kopo (tin tomato 1)Vitunguu (onion 2)Vitunguu swaum (garlic cloves 6)Tangawizi (ginger)Carry powderBinzari ya njano (Turmaric 1/2)Njegere(peas 1/2kikombe)Carrot iliyokwanguliwa 1Limao (lemon 1)Bilinganya (aubergine 1)ChumviPiβ¦
Open printable article βπMapishi ya chipsi
MahitajiViazi (potato) 1/2 kiloMafuta ya kukaangia (veg oil)ChumviMatayarishoMenya viazi kisha vioshe na vikaushe maji yote kwa kutumia kitchen towel.Baada ya hapo katakata katika shape ya chips uzipendazo either nyembamba au nene kisha zikaushe tena maji na uzitie chumvi. Baada ya kuzitia chumvi tuβ¦
Open printable article βπMapishi ya Wali wakukaanga
MahitajiMchele (Basmati rice) 1 kiloVitunguu (chopped onion) 2 vikubwaGarlic powder 1/2 kijiko cha chaiNjegere (peas) 1 kikombeTurmaric 1/2 kijiko cha chaiCoriander powder 1/2 kijiko cha chaiCumin seeds 1/2 kijiko cha chaiMafuta ya kupikia 2 vijiko vya chakulaChumvi kiasiMatayarishoOsha kisha lowekaβ¦
Open printable article βπMapishi ya wali wa mboga
MahitajiWali uliopikwa (cooked rice) kiasiHoho la kijani (green pepper) 1/2Hoho jekundu (red pepper) 1/2Carrot 1Kitunguu kikubwa (onion) 1Njegere (pears) 1/2 kikombe cha chaiMayai (eggs) 2Uyoga (mushroom) 2 vikombe vya chaiSoy source 2 vijiko vya chakulaChumvi (salt) kiasiMafuta (veg oil) 3 vijiko vβ¦
Open printable article βπMapishi ya wali wa Kiafrika Mangaribi
MahitajiMchele (rice vikombe 2 na 1/2)Vitunguu (onion 2)Nyanya ya kopo (tin tomato kopo 1)Tangawizi (ginger paste kijiko 1 cha chakula)Kitunguu swaum (garlic paste kijiko 1 cha chakula)Paprika (kijiko 1 na 1/2 cha cha chai)Pilipil (scotch bonnet pepper 1)Curry powder (kijiko 1 cha chai)Maggi cubes 3β¦
Open printable article βπMapishi ya wali wa hoho nyekundu
MahitajiPilipili hoho (Red pepper 3)Cougette 1Kitunguu (onion 1)Uyoga (mashroom 1 kikombe cha chai)Carrot 1Nyanya (fresh tomato 1)Nyanya ya kopo iliyosagwa (tomato paste 3 vijiko vya chai)Giligilani (fresh coriander)Binzari manjano (Turmaric 1/2 ya kijiko cha chai)Curry powder 1/2 ya kijiko cha chaiβ¦
Open printable article βπMapishi ya chipsi na samaki wa kuchoma
MahitajiViazi ulaya (baking potato 5 vya wastani)Parprika 1 kijiko cha chaiPilipili mtama ilyosagwa (ground black pepper 1 kijiko cha chaiKitunguu swaum cha unga (garlic powder 1 kijiko cha chai)Chumvi (salt)Mafuta (vegetable oil)Marination za samaki (angalia kwenye recipe ya samaki ya nyuma)Matayarβ¦
Open printable article βπMapishi ya Ndizi za nazi na utumbo
MahitajiNdizi mshale 10Utumbo wa ng'ombe 1/2 kiloNazi ya kopo 1Nyanya 1Kitunguu kikubwa 1Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chakulaOlive oil kiasiLimao 1ChumviCurry powder 1 kijiko cha chaiTurmaric 1/2 kijiko cha chaiCoriander ya powder 1/2 kijiko cha chaiPilipili ya unga 1/2 kijiko cha chaiPilipili kaliβ¦
Open printable article β