πMbinu za kulima parachichi ili kupata faida
<h3 id="toc3">Agronomy ya Parachichi</h3><p>Hali ya hewa</p><p>-Ni tunda linalopenda sana sehemu za baridi, maeneo kama ya Rungwe-Mbeya, Njombe, Makete, linastawi vizuri sana, na huwa na Fatty Contenty kubwa</p>
Open printable article βπUgonjwa wa tetanasi au pepopunda unaoathiri sana punda na binadamu
<p>Huu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya binadamu. Kinyesi cha punda kinabeba vimelea vijulikanavyo kama clostindium tetanii vinavyosababisha ugonjwa wa tetanasi.</p><p>Wadudu hawa wanaweza kuishi katika viumbe wote wenye damu moto maarufu kama mamalia na ndege, na wanapotoka ndani ya miili ya viumbe hao wadudu hao wanaweza kuishi kwenye udongo kwa miaka mingi</p>
Open printable article βπJinsi ya kufanya nyuki waingie kwenye mzinga mpya
<p>Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;</p><ol><li>Tafuta mahali pazuri pa-kuningβiniza mzinga wako.</li><li>Weka nta kwenye mizinga yako ili kuwavutia nyuki</li></ol>
Open printable article βπKilimo bora cha matikiti maji
<p>Ili kulima tikiti maji, inakubidi uwe na sehemu ya kutosha, yenye jua la kutosha, maji mengi na ardhi yenye rutuba ya kutosha, matikiti maji hukua haraka kama mimea mingine ya jamii yake itambaayo mfano matango, maboga na makwash.</p><p>Β </p>
Open printable article βπKilimo kizuri cha pilipili hoho
<p>Pilipili hoho ni zao la jamii ya pilipili isiyo kali, tunda lake ni nene kiasi la duara pia linaweza kuwa lililochongoka. Pilipili hoho hutumika katika kutengeneza rangi za asili za vyakula ambazo kwa sasa hupendwa zaidi kuliko zile zinazotokana na kemikali na pia huongeza ladha na harufu katika vyakula.</p>
Open printable article βπJinsi ya kulima vizuri vitunguu twaumu (swaumu)
<p>Vitunguu twaumu viungo vinavyopendwa na watu wengi hasa kwa harufu yake nzuri Kwenye chakula na uwezo wake wa kuondoa harufu mbaya Kwenye chakula (shombo). Vile vile vitunguu twaumu vinatumika kama tiba mbadala ya maradhi mbalimbali.</p>
Open printable article βπJinsi ya kulima vitunguu (vitunguu maji) kwa mbinu za kilimo bora na kwa faida
<p>Vitunguu ni zao la mbogamboga na hulimwa kwa ajili ya balbu zake ambazo hutumika kama kiungo cha chakula. Vitunguu vina matumizi mengi sana na vina madini joto, chuma, vitamin A, vitamin B, vitamin C na vitamin E.<br />Vitunguu hulimwa na hukubali zaidi nyanda za baridi. Nyanda zenye joto vitunguu hulimwa pia. Vitunguu vinaweza kulimwa mwaka mzima endapo maji yanapatikana.</p>
Open printable article βπMambo 8 ya kuzingatia kabla ya kuleta mifugo (kuku, ng'ombe,mbuzi n.k) wapya bandani
<p>Mambo hayo ni haya yafuatayo;<br />1. Hakikisha unaondoa matandazo yote ndani ya nyumba,<br />2. Ondoa vyombo vya kulishia na kunyweshea.</p>
Open printable article β