πAsiefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu
Asiefunzwa na mama, huvunzwa na ulimwengu: maonyo ya wazaz, walezi au watu wazima yana nafasi kubwa katika ustawi wa maisha ya vijana, hivyo ni muhimu kuwasikiliza lakini ikitokea maonyo hayo hayasikilizwi basi watajifunza mambo mabaya kutoka kwa watu wengine β¦
Open printable article βπSiri ya mafanikio katika maisha Ni Kutoangalia Watu
Baada ya kusoma makala kuhusu hofu zinazotugharimu katika safari ya mafanikio, Leo nimekuandalia Makala hii ya Siri ya mafanikio. Katika safari ya mafanikio, watu wanaweza kuwa kikwazo kikubwa kinachosababisha ugumu wa kuendelea mbele. Wanaweza kuleta upinzaniβ¦
Open printable article βπUjumbe kwako wewe mwajiriwa au uliyejiari
Kama umeajiriwa au pia umejiajiri ni mojawapo ya njia zinazokuingizia kipato maana wengi wanaanzia hapo mpaka kuja kufikia kule wanakohitaji.Ila kuna maswali machache ya kukupa changamoto ambayo nataka ujiulize:-Kwako muajiriwaππΏUmeshawahi kujiuliza huo mshahaβ¦
Open printable article βπUmasikini isiwe sababu wala utajiri isiwe sababu ya kuwa mchafu au kutokuwa na usafi
Katika maisha, umasikini siyo sababu ya mtu kuwa mchafu au kutokuwa na usafi. Hali ya umasikini inaweza kuathiri uwezo wa mtu kumudu bidhaa za usafi au kuishi katika mazingira safi, lakini hii haimaanishi kuwa mtu mwenye utajiri automatically ni mtu mwenye usaβ¦
Open printable article βπMambo ya kufanya mwezi Disemba
Ikiwa leo ni tarehe **1/12 huwezi amini kuwa hakuna tarehe 1 nyingine tutakayoiona ya mwaka huu hivyo sichelei kusema kuwa mwaka umeisha .Lakini mwaka unaishaje??? pengine hili ndilo swali gumu na la muhimu la kujiuliza .Je, Mwaka unaisha ukiwa umefanya nini cβ¦
Open printable article βπUnashangaa kwa nini hufanikiwi?
Sikiliza, hakuna haja ya kuketi chini ili kuelewa ujumbe huu: Ukweli unabaki kwamba wengi wanajihusisha kupita kiasi na yale yasiyo ya msingi katika safari yao ya mafanikio. Kuna msemo wa kiingereza unaosema "mind your own business," tunapaswa kujiuliza tufanyβ¦
Open printable article βπIlinde ndoto yako
Ndoto ni nini? Ndoto ni zile ndoto za kiuhalisia ambazo mtu anaweza kuwa nazo akiwa macho na anatumia mawazo yake kutengeneza au kuunda picha ya maisha anayotamani kuishi siku zijazo. Hizi si ndoto ambazo mtu anaota usiku akiwa usingizini, bali ni matakwa ya dβ¦
Open printable article βπUJASIRIAMALI NA CHANZO CHA MTAJI
UJASIRIAMALI Ujasiriamali ni mojawapo ya nguzo muhimu zinazochochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika jamii. Ni mchakato wa kuthubutu au kujaribu kufanya shughuli zozote halali, zenye lengo la kuzalisha bidhaa au kutoa huduma zinazoweza kutatua matatizo β¦
Open printable article βπNi vizuri kujua haya
ππΏDegree au vyeti ulivyo navyo haviwezi kukupa mafanikio.ππΏUzuri ulio nao hauwezi kukupeleka kwenye ndoto zako.ππΏUsipobadilisha hao marafiki ulio nao hutofika mahali popote.ππΏUsipobadilisha vitendo unavyovifanya kila siku hivyo hivyo mafanikio utayasikia kwa wβ¦
Open printable article βπNjia 8 za kupata mtaji kwa ajili ya Biashara yako
Njia hizo ni kama ifuatayo!! 1. Mtaji mbadala Mtaji mbadala unarejelea rasilimali au mbinu ambazo zinaweza kutumika badala ya fedha katika kuendeleza biashara au mradi fulani. Ni muhimu kuelewa kwamba si kila hatua inahitaji matumizi ya fedha taslimu. Kuna nyaβ¦
Open printable article βπKuwa na kawaida ya kujiwekea Akiba ni njia na Siri ya kuwa tajiri
Watu wengi wanajiuliza, βSiri ya utajiri ni nini?β Je ni mbinu gani zinaweza kumsaidia mtu kupata utajiri? Siri kubwa ya utajiri ni kujifunza elimu ya namna ya kutafuta mtaji, kuwekeza kwa busara kwa namna ambayo daima panakuwa na ziada na faida. Kuwa na lengoβ¦
Open printable article βπFURSA HAIJI MARA MBILI: Jinsi unavyoweza kupata faida au hasara ukitumia Nafasi au fursa uliyonayo
Kwenye maisha fursa moja tu inatosha kabisakubadilisha hali yako ya sasa na kukuweka kwenyekiwango kingine kabisa cha mafanikio.Kuna watuwengi sana ambao waliwahi kufikiria kuwa maishayao yatachukua miaka mingi sana kablahayajabadilika na kwa mshangao wao waliβ¦
Open printable article βπMambo 13 katika pesa ambayo unapaswa kuzingatia
1. Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara.Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba yake.2. Usitumie pesa ambayo bado haipo mikononi mwako.Wala usije ukamuahidi mtu kumpa pesa ambayo umeahidiwa mahali β¦
Open printable article βπUsiyoyajua kuhusu pesa haya hapa
Habari za Leo Rafiki yangu wa Muhimu sana. Ni furaha yangu kujua unaendelea vyema sana na majukumu yako.Ni wakati mwingine tena tunaenda kujifunza pamoja juu ya mambo mbalimbali ili tuweze kufikia mafanikio kila siku. Leo tunakwenda kujifunza kuhusu pesa na utβ¦
Open printable article βπTabia za kuepuka ili uweze kuwa tajiri
UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASKINIβ¦β¦β¦β¦By Kashindi Edson"Umasikini hauji kwa bahati mbaya kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu β¦
Open printable article β