πMapishi ya Bagia dengu
MahitajiUnga wa dengu (gram flour 1/4 kilo)Kitunguu kilichokatwa (onion 2)Hoho (green pepper 1/2)Pilipili iliokatwakatwa (scotch bonnet pepper 1/2)Barking powder (1/4 ya kijiko cha chai)Chumvi (salt)Kitunguu swaum (garlic cloves 2)Mafuta ya kukaangia (vegetablβ¦
Open printable article βπMapishi ya Mandazi Matamu
MahitajiUnga wa ngano (nusu kilo)Sukari (Kikombe 1 cha chai)Chumvi (nusu kijiko cha chai)Hamira (kijiko kimoja cha chai)Yai (1)Maziwa ya unga (vijiko 2 vya chakula)Butter (kijiko 1 cha chakula)Hiliki (kijiko1 cha chai)Maji ya uvuguvugu ya kukandiaMafuta ya kucβ¦
Open printable article βπMapishi ya Kachori
MahitajiViazi mbatata (potato 4 vya wastani)Nyama ya kusaga (mince beef 1 kikombe cha chai)Kitunguu (onion 1 cha wastani)Carrot 1Hoho (green pepper 1/2)Kitunguu swaum (garlic)Tangawizi (ginger )Binzari nyembamba (ground cumin 1/2 kijiko cha chai)Binzari manjanβ¦
Open printable article βπMapishi ya bagia na chatney ya machicha ya nazi
MahitajiKunde (Ila mimi nilitumia Nigerian brown beans 1/2 kilo)Vitunguu maji (onion 2)Pilipili (scotch bonnet pepper 2)Vitunguu swaum (garlic 4 cloves)Chumvi (salt)Barking powder (1/2 kijiko cha chai)Machicha ya nazi (grated coconut 1 kikombe cha chai)Limao (β¦
Open printable article βπMapishi ya Chapati za maji za vitunguu
MahitajiUnga wa ngano (plain flour) 1/4Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1Yai (egg) 1Chumvi (salt)Mafuta (cooking oil)MatayarishoTia unga, chumvi na maji kiasi katika bakuli kisha koroga mpaka madonge yote yaondoke. Baada ya hapo tia yai na vitunguu kishaβ¦
Open printable article βπMapishi ya Sambusa za nyama
MahitajiNyama ya kusaga (minced beef 1/4 kilo)Vitunguu maji vilivyokatwakatwa(diced onion 2 vikubwa )Kitunguu swaum/ tangawizi (garlic and ginger paste 1 kijiko cha chakula)Chumvi (salt)Pilipili iliyokatwakatwa (scotch bonnet 1)Limao (lemon 1/2)Curry powder 1/β¦
Open printable article βπMapishi ya Mandazi ya nazi
MahitajiUnga wa ngano (self risen flour) vikombe 2 na1/2Sukari (sugar) 1/2 kikombeHamira (yeast) 1/2 kijiko cha chaiHiliki (cardamon powder) 1/4 kijiko cha chaiTui la nazi (coconut milk) kiasiBaking powder 1/4 kijiko cha chaiSiagi (butter)1 kijiko cha chakulaMβ¦
Open printable article βπMapishi ya Half cake (Keki)
MahitajiUnga wa ngano (self risen flour) kikombe 1na 1/2Sukari (sugar) 1/4 kikombeBarking powder 1/2 kijiko cha chaiMagadi soda (bicarbonate soda) 1 kijiko cha chaiMafuta 2 vijiko vya chaiMafuta ya kukaangiaMaji ya uvuguvugu kiasiMatayarishoChanganya unga na vβ¦
Open printable article βπJinsi ya kupika Mkate
MahitajiUnga wa ngano ( self risen flour) kikombe 1 na 1/2Hamira (yeast) 1 kijiko cha chaiSukari (sugar) 1 kijiko cha chakulaChumvi (salt) 1/2 kijiko cha chaiSiagi iliyoyeyushwa (melted butter) 1 kijiko cha chakulaMaji ya uvuguvugu ( warm water) kiasiMatayarisβ¦
Open printable article βπJinsi ya Kupika skonzi
MahitajiUnga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)Sukari (sugar 1/2 kijiko cha chakula)Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)Hamira (yeast 1/2 kijiko cha chakula)Baking powder 1/2 kijiko cha chaiSiagi (butter 1/4 ya kikombe cha chai)Maziwa (fresh milk 3/4 β¦
Open printable article βπMapishi ya Chapati za Kusukuma kitaalamu
MahitajiUnga wa ngano (plain flour 1/2 of kilo)Siagi (butter vijiko 2 vya chakula)Yai (egg 1)Chumvi (1/2 ya kijiko cha chai)Hiliki (ground cardamon 1/4 ya kijiko cha chai)Maji ya uvuguvugu (warm water)Mafuta (vegetable oil)MatayarishoWeka unga wa ngano katika β¦
Open printable article βπJinsi ya kupika Mkate wa sinia
MahitajiUnga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai)Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha chakula)Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko cha chai)Ute wa yai 1(egg white)Tui la nazi (coconut milk kikombe 1 na 1/2 cha chai)Mafutaβ¦
Open printable article βπMapishi ya Chai ya maziwa, mandazi, uyoga na mayai
MahitajiMandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)Mayai (eggs 4)Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)Nyanya (fresh tomato 1)Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)Chumvi (salt)Mafuta (vegetable oil)Hiliki nzima (caβ¦
Open printable article βπMapishi ya Chicken Satay
MahitajiKidali cha kuku 1 (chicken breast)Kitunguu maji 1/2 (onion)Kitunguu swaum/tangawizi (garlic and ginger paste) 1 kijiko cha chaiLimao ( lemon)1/4 kijiko cha chaiCurry powder 1/4 kijiko cha chaiPilipili ya unga kidogo (Chilli powder)Coriander powder 1/4 β¦
Open printable article βπMapishi mazuri ya Chapati za maji
MahitajiUnga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)Yai (egg 1)Sukari (sugar 1/4 kikombe cha chai)Chumvi (salt 1/4 kijiko cha chai)Hiliki (ground cardamon 1/4 kijiko cha chai)Maji kiasiMafuta (vegetable oil)MatayarishoTia unga kwenye bakuli, kisha weka sukari, chumβ¦
Open printable article β