πKwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoeaau yale ambayo yapo tofauti. Jinsi unavyozidi kujua ukwelikuhusu sababu za ualbino ndipo unavyoweza kujenga mtazamochanya ikiwemo kuwapenda.Wapo pia watu wengi katika jamii yetu ambao wana mahusianoya kimaβ¦
Open printable article βπNjia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?
Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo yaVVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test). Vipimo hivivinapatikana katika vituo vya afya na pia kupitia vituo maalumuvya ushauri nasaha vya kupima kama vile vya Angaza, hudumahizi zimesambaa nchi nzima. Kipimoβ¦
Open printable article βπWatu wanaamini kuwa Albino wana joto katika mapenzi kuliko watu weusi, Je, hiyo ni kweli?
Hii siyo kweli,tofautibaina ya Albinona mtu a s iekuwa na ualbinoi m e e l e z w ahapo mwanzoniambapo tofautiipo tu kwenyemuonekano warangi ya ngozi,nywele n a macho. Mifumo yao yote mingine ya mwili iko sawa na watuwasio na ualbino.Watu wanaweza tu kuanzisha β¦
Open printable article βπKwa nini watu wasio na ualbino wanaogopa kuoa Albino kwa imani kuwa watawazalia watoto Albino?
Ualbino ni hali yakurithi, hii inamaanishakuwa unapata ualbinokutoka kwa wazaziwako. Watu wawiliweusi wanaweza kupataAlbino endapo kilammoja wao atakuwana kinasaba cha ualbino.Hali hii huwezi kuionaau kuijua. Unaweza tukuitambua baada yakujifungua. Takribanimtβ¦
Open printable article βπInatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozinyeupe anakataa ya kwamba mtoto si wake akimlaumu mama wamtoto kuwa amekuwa na mahusiano ya ngono na mzungu. Huuni upuuzi kwa sababu kila mtu anajua kuwa watoto waliozaliwakutoka familia za watu weusi na β¦
Open printable article βπKwa nini watu wanakuwa na hulka ya kuua Albino?
Vitendo vya kuua Albino tunavyovishuhudia sasa ni mambomapya na kwa kila hali siyo njia sahihi ya tiba ya jadi.Baadhi ya waganga wa jadi hutumia viungo vya wanyama nabinadamu katika sherehe zao. Kwa mfano fuvu za binadamuhuwekwa chini ya msingi wa nyumba kuletβ¦
Open printable article βπJeshi la polisi linafanya nini katika kukomesha mauaji na madhara yanayotendeka kwa Albino?
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masualayote yanayohusu vitendo hivyo, kuwakama tawahusika wotena kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria. Pia jeshi la Polisilimeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kushughulikia kwa harakakesi za Albino.
Open printable article βπWatu wanaoua Albino wanapata faida gani?
Hakuna uchunguzi wa kisayansi ambao umeonyesha faidayoyote inayopatikana kwa kuua Albino.Madai ya kuwepo kwa faida katika mauaji ya Albino ni uvumimtupu unaoimarishwa na imani ya kishirikina na hazina msingi.Kwa bahati mbaya uvumi huu umeimarika katika baadhi β¦
Open printable article βπKwani Albino hawatakiwi kuishi duniani?
Albino ni binadamu kama alivyo binadamu mwingine na ana hakisawa za kuishi na kufaidi kuwepo kwake hapa duniani kamailivyo kwa binadamu wengine. Kuua Albino kwa sababu yoyoteile ni jambo baya sana ambalo linakemewa na serikali, dini zote,na kila mwanadamu mwenβ¦
Open printable article βπNi hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?
Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozukaTanzania tangu mwaka 2007 hadi sasa, Serikali imechukuahatua kadhaa kurekebisha hali hiyo. Hatua hizo ni pamojana:β’ Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafyta na kuwakamata wauajiwa aalbino.β’ Kumteua Albino kuβ¦
Open printable article βπHatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?
Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambola kwanza ni ukeketaji ambao ni kinyume dhidi ya haki ya afyaya uzazi kwa mwanamke na ni uvunjaji sheria ya kukeketa mtotowa kike. Jambo la pili ni kuwacheza Albino unyago juani. Kitendohiki ni kuwaumiβ¦
Open printable article βπJe, kuna madhara yoyote yanayompata kijana Albino wa kike au wa kiume anayeamua kutoanza kujamiiana hadi afikie umri uliokubalika?
Ukweli ni kwamba hakuna athari zinazojulikana kwakusubiri aukuacha kujamiiana hadi mtu afikie umri unaokubalika / utu uzimaau hata muda mrefu zaidi. Pia via vya uzazi havitaathirika kwanjia moja au nyingine (havisinyai wala kutoweka.) Kuna uvumipotofu unaodai β¦
Open printable article βπKwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiianakatika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:β’ Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kamavile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutakamahitaji ya pesa kwa ajili ya β¦
Open printable article βπNina rafiki wa kike ambae ni Albino wa ngozi na tunapendana sana, lakini kwa nini anakataa kujamiiana na mimi?
Rafiki yako wa kike ana haki ya kukataa kujamiiana na wewe.Labda hayuko tayari kujamiiana au anapenda kusubiri mpakaafunge ndoa. Maamuzi yake yatakuwa yametokana na kuogopamatokeo ya kujamiiana katika umri mdogo au labda anafuatamaadili yaliyo kwenye dini yakeβ¦
Open printable article βπMimi ni msichana Albino ninaogopa kuwa na rafiki mwanaume kwa kuhofia kuwa anataka tu kujamiiana na mimi na halafu aniache
Wakati mwingine kuwa na muonekano tofauti na watu wenginehuvuta udadisi. Na hasa tukikumbuka kwamba uvumi uliopounasema kuwa Albino wako tofauti katika kujamiiana jamboambalo linaimarisha udadisi huu. Kwa maana hiyo basi, chukuamuda wa kutafakari. Kama vile tuβ¦
Open printable article β