πRaha ya kuoa mke ambaye hajasoma
Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanyaKUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO NIMEMUAMBIA MWEZI HUU HATUTOLIPWA MSHAHARA KWAKUA HAUNA TR 30 KAENDA KUNGALIA KARENDA KARUDI ANANIAMBIA HAMNA SHIDA MME WANGU TUTAVUMILIA TUπ€£π€£π€£πββπββπββπββπββπββ
Open printable article βπJanuari kweli ngumu, soma hii
Januari kweli kibokoHii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani unakutana mjini na mtu ana mchicha shingoniβ¦π
Open printable article βπTofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga
Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, analivaa dela bila nguo ya ndani mbele yako, unazidiwa anakupa kitu fresh unatoka unatabasamu.π€π½ππ½Mwanamke wa kitanga:Unampa hela anapika vitu mtaa mzima unasikia harufu ya chakula, cheβ¦
Open printable article βπUkimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake
Hili nalo neneo.Ukimuona mbwaπΆ harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilichomleta pale ndicho kilichokupeleka na wewe hapo
Open printable article βπUngekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?
MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????BABA: MbeyaMTOTO: Mama nae kazaliwa wapi????BABA: TangaMTOTO: Mimi jee?????BABA: DarMTOTO: Sasa tulikutanaje????ππ hapo wee kama baba ungemjibuje mwanaoπ³π³π³
Open printable article βπJambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni
Fanya hiviUkitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE TOCHI TAA IMEUNGUA"atakusaidia kumulika mpaka unamaliza kazi zako zooteπ
Open printable article βπJe hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?
Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiriHakuna mwanamke yupo tayar kulalia kifua cha maskini ambacho moyo unadundaDeni,, Deni,Deni, Deni .π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πΆπ½ββ
Open printable article βπJinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana
Duh! MaishaIle time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu angekua MBWANA SAMMATANi shetani tu anajaribu kucheza na akili zenuππππ
Open printable article βπKilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala
Mzee mmoja alipanda Gari Stend;Wakati wa kugombania Siti,Akaibiwa Nauli.Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"Abiria kuskia hivyo wakaogopa.Ikabidi Mwiziβ¦
Open printable article βπHiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke
Hiki ndiyo kifo.KIFO NI NINI..Kifo ni pale girlfriend wako anapofanya fujo Club akiwatukana MABAUSA Huku akisema"BABY WANGU HATA HAWAOGOPI"ππππ
Open printable article βπTatizo la kukuta nywele kwenye chakula
Hapa ni shidaKUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMETOKA SEHEMU GANIπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Open printable article βπJe, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?
Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mathematics Halafu Mpo Kikundi Fulani Either Mnarudi Nyumbani Au Mnapumzika Kwa Ajili Ya Next Exam.Unasikia Jamaa Wanabishana Pale Jibu Lilikua 4 Mwingine Anasema 5, Na Weweβ¦
Open printable article βπRaha ya kuoa kijijini
Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi daaaah wanaona wewe ni bonge la bossππππππππππππππππππππ
Open printable article βπHii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute
Matatizo ni nini???`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia mama mkwe anasema kuna mjinga kajisaidia kwenye mboga na kaangushaβ¦
Open printable article βπAngalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga
Ndoto zingine bwana usiombe zikupateMimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari Yangu aina ya BMW mpya Mara gafla ikakwama kwenye tope .hivyo ikabidi nishuke ili kuisukuma loh! Yani kudadeki ile kuamka nikakuta nimesukuma kitanda hadi seblβ¦
Open printable article β