PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

All Articles Β· 43,576

πŸ“„

Maswali na Majibu kuhusu Marehemu

Ufufuko wa wafu maana yake nini? Ufufuko wa wafu maana yake mwisho wa dunia watu wote watafufuka na miili yao na kwenda nayo katika furaha ya milele au moto wa milele. (Ayu 19:25-26, Mt 22:30-32, Yh 28-29) Baada ya kifo cha mtu nini hutokea? Baada ya kifo roho…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maswali na Majibu kuhusu Ibada ya Misa

Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso, mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana gani? Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu, Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu, Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu w…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maswali na Majibu kuhusu Mitume

Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku gani? Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku ya Pentekoste, yaani siku ya hamsini toka Pasaka. (Mdo 2:1-4) Roho Mtakatifu aliwafanyia nini Mitume? Roho Mtakatifu aliwatia Mitume Mwanga wa nguvu ili waweze kuhubiri Injili …

Open printable article β†’
πŸ“„

Maswali na majibu kuhusu Mpako wa wagonjwa au Mpako wa Mwisho

Yesu aliweka Kitubio na Mpako wa Wagonjwa kwa sababu gani? Yesu aliweka Kitubio na Mpako wa Wagonjwa kwa sababu alijua udhaifu wa binadamu hauishi mara anapopokea uzima wa Mungu kwa sakramenti tatu za kuingizwa katika Ukristo. Hivyo alipanga kusaidia mpaka mwi…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mafundisho kuhusu Binadamu, Mtu na Utu

Mungu alisema nini alipotaka kumuumba mtu? Mungu alipotaka kumwumba mtu alisema; "Tumfanye mtu kwa mfano wetu na kwa sura yetu" (Mwa 1:26-27) Mtu ni nani? Mtu ni kiumbe chenye mwili na roho kilichoumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. (Mwa 1:26) Tumeumbwa kwa sura…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Mungu

Je, Yatupasa kumtolea Mungu shukrani? Ndiyo, Yatupasa kumtolea Mungu shukrani kila wakati hasa kwa kuadhimisha Ekaristi Takatifu Nani ameumba vitu vyote? Mungu ameumba vitu vyote Mungu ni nani? Mungu ndiye muumba wa kila kitu katika uwingu na nchi, Mkubwa wa u…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki

Daraja na ndoa ni tofauti na sakramenti nyingine kwa sababu gani? Daraja na ndoa ni tofauti na sakramenti nyingine kwa sababu hazilengi hasa faida ya mtu anayezipokea, bali huduma zake kwa ajili ya Kanisa na jamii. Daraja inatia uwezo wa Kristo kwa ustawi wa K…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mafundisho ya Msingi kuhusu Roho Mtakatifu

Roho Mtakatifu ana nafasi gani katika sala? Roho Mtakatifu ndiye Mlezi wa ndani wa sala ya Kikristo Kusadiki kwa Roho Mtakatifu maana yake ni nini? Kusadiki kwa Roho Mtakatifu maana yake ni kusadiki kwa nafsi ya Tatu ya Utatu Mtakatifu Majina mengine ya Roho M…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maswali na Majibu kuhusu Sala

Sala ni nini? Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Kuongea maana yake ni kusema na Kusikiliza. Sala sio kuongea tuu, sala ni kuongea na kusikiliza. Mungu anatualika tuongee nae kwa kusema na kusikiliza. Kwenye Biblia tunasoma Hivi; β€œNiite, nami …

Open printable article β†’
πŸ“„

Maswali na Majibu kuhusu Sanamu katika Kanisa Katoliki

Je sanamu zimekatazwa? Sanamu hazijakatazwa, ila tunaziheshimu kwa sababu zinatukumbusha Mungu na Watakatifu. (Kut 25:18-22). 18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka keru…

Open printable article β†’
πŸ“„

Kuhusu Ubatizo, Haya ndiyo mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu

Kwa nini ubatizo unafanyika kwa maji? Ubatizo unafanyika kwa maji kwa kuwa ndiyo ishara ya usafi na ya uhai unaotupatia kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. β€œNami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni na uchafu wenu wote, na vinyago vyenu vyote…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maswali na Majibu kuhusu Ufufuko wa wafu

Ufufuko wa wafu maana yake nini? Ufufuko wa wafu maana yake mwisho wa dunia watu wote watafufuka na miili yao na kwenda nayo katika furaha ya milele au moto wa milele. (Ayu 19:25-26, Mt 22:30-32, Yh 28-29) Mbinguni ni mahali pa namna gani? Mbinguni ni makao me…

Open printable article β†’
πŸ“„

Amri ya Tisa ya Mungu: Mambo inayokataza na inayoamuru

Katika Amri ya Sita na Tisa Mungu ametuamuru nini? Mungu ametuamuru kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu katika ndoa.

Open printable article β†’
πŸ“„

Amri ya Sita ya Mungu: Kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu

Katika Amri ya Sita na Tisa Mungu ametuamuru nini? Mungu ametuamuru kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu katika ndoa. Usafi wa Moyo ndio nini? Usafi wa Moyo ni fadhila ya kiutu, zawadi ya Mungu, neema na tunda la Roho Mtakatifu. Kwa sababu gani yatupasa kuw…

Open printable article β†’
πŸ“„

Upendo wa Mungu: Hazina Isiyoweza Kulinganishwa

Upendo wa Mungu ni hazina isiyoweza kulinganishwa na kitu chochote. Ni upendo wenye nguvu na wa kudumu ambao Mungu ameweka ndani yetu. Upendo huu umetolewa bure, na hakuna kitu tunachoweza kufanya ili kupata upendo huu isipokuwa kupokea. Hapa kuna mambo kadhaa…

Open printable article β†’