πMambo yanayowazuia Waumini na Watumishi wa Mungu Kufikia Ukamilifu na Utakatifu
Leo nimekuandalia Tafakari kuhusu Mambo yanayowazuia Waumini na watumishi wa Mungu Kuishi Kitakatifu na kufikia Ukamilifu. Mambo haya yanaweza yakaonekana sio dhambi au makosa kwa mtu lakini ni vikwazo kwa mtu kufikia Ukamilifu hasa anaposhindwa kuyajua na kuyβ¦
Open printable article βπSiri ya Kuwa na Amani ya Moyoni au Rohoni
Utangulizi Amani ya Moyoni au Rohoni ni hali ya kutokua na wasiwasi na hofu moyoni kuhusu Mambo ya Rohoni na ya kidunia. Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukβ¦
Open printable article βπMaana ya kuushinda ulimwengu
Kuushinda ulimwengu ni Kuushinda mwili na akili, Ni kuweza kutenganisha mwili, akili na Roho yako. Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi. Ukishindwa kutenganisha akiliβ¦
Open printable article βπNguvu na Umuhimu wa Upendo
Utangulizi Katika fadhila zote, upendo ndio unaonyesha uwepo wa fadhila nyingine Upendo ni Amri kubwa kuliko zote Upendo ni Utimilifu wa Sheria Upendo ni Utakatifu Upendo ni Ukamilifu Upendo unazaa umoja Upendo unadumisha Amani Upendo ni Kila Kitu Nguvu na Umuβ¦
Open printable article βπMambo ya Msingi Sana Kuhusu Kusali na Kuomba
Rafiki yangu, Omba utafute uso wa Mungu, Aonaye kwa Siri atakujibu kwa wazi. Mungu ni Mwaminifu Sana hasa kwa wamwombao bila kukoma na kwa matumaini Mungu yeye anasikia Sala zetu zote na kuzijibu zote. Mungu hujibu na kutupa kile kilicho muhimu na kizuri kwetuβ¦
Open printable article βπTAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA
Ni kwa nini tunapata Mateso na shida katika Maisha? Kwa nini Mungu ameruhusu tuteseke? Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu. Mateso na shida katika maisha ni naβ¦
Open printable article βπYafahamu Mawazo na Mipango ya Mungu Kwako
Utangulizi Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu aliyopanga Kwake. Lakini kama mtu ataishi kwa kufuata mapenzi yake mwenyewe basi atapotezβ¦
Open printable article βπMipango ya Mungu kwetu sisi wanadamu
Utangulizi Mipango ya Mungu daima ni myema, Mungu anapanga Mema katika maisha ya mtu kama akifuata mapenzi yake. Tatizo ni kwamba watu wanafuata mapenzi yao wenyewe na kisha kukosa yale mema Mungu aliyopanga kwao. Sio kila jambo jema unalofikiri kulifanya ni jβ¦
Open printable article βπSiri ya Yesu: Mwangaza Wa Maisha
Siri ni hii, Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza. Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu. Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu. Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha. Kujikabidhi Kwa Yesu Kristu Yeye Aliye Mwangβ¦
Open printable article βπUnafahamu kuwa Imani ni Cheti cha Kuweza Kupata Yote?
Utangulizi Imani ni kuwa na uhakika hata kwa mambo yasiyoonekana na yasiyowezekana. Ni kujua au kutarajia kwa uhakika kwa mambo ambayo bado hayajawa bayana (wazi) kuwa yapo au yatafanyika. Kwa Imani Kila Kitu Kinawezekana. Kwa Sala na kwa Matendo. Yesu Kristu β¦
Open printable article βπTafakari Upendo Mkuu wa Mungu kwa Mwanadamu
Utangulizi Mungu alimpenda sana binadamu hata akauvaa Mwili wa Binadamu akashuka duniani na kuishi kama Binadamu ili amkomboe Mwanadamu na hata akaamua kufa kwa ajili ya Binadamu kwa malipizi ya dhambi za Binadamu na kwa maondoleo ya dhambi. Je, ni Kitu gani aβ¦
Open printable article βπHii Ndiyo Namna Pekee ya Kuwa na Amani Katika Maisha Yako
Utangulizi Namna pekee ya kuwa na Amani ni kuishi Mapenzi ya Mungu, Kwa njia hii Moyo wako hautafadhaika, hautayumbishwa na hautajuta kwa kuwa utakua upo katika njia ya Mungu na njia ya Mungu haina Majuto kwa kuwa ni njema. Njia zetu zinakua na Majuto kwa sabaβ¦
Open printable article βπKwa nini Mungu hatendi mpaka umwambie au umuombe? Kwa nini tusali?
Utangulizi Mungu anapenda kutenda jambo baada ya mtu kumuomba/kusali ili mtu aelewe Ukuu wa Mungu na ili Mungu atukuzwe. Kama kila kitu mtu anachotaka kingekua kinafanyika, Binadamu asingemkumbuka Mungu na Mungu asingetukuzwa Kwa hiyo, tunasali kumuomba Mungu β¦
Open printable article βπKaribu Ujitafakari: Kwa nini Unasali na Kumuabudu Mungu? Jifunze Kitu Hapa
Utangulizi Embu tafakari kwa nini unasali na Kumuabudu Mungu! Je unasali kwa hofu ya kutokua na uhakika na maisha? Je unasali kwa sababu ya shida na matatizo katika maisha? Je unasali kwa kuwa unaona wengine wanasali kwa hiyo unafikiri na wewe lazima usali? Jeβ¦
Open printable article βπMungu Anakuita Na Kukupa Nafasi Ya Kutubu Na Kumrudia Yeye Ili Akusamehe na Kukubariki
Ingekuwa heri leo msikie sauti yake! Msifanye migumu mioyo yenu. Zab 95:7-8 Tunaalikwa kutubu na kumrudia Mungu kwa Mioyo yetu yote na kwa nia dhabiti. Mungu ni mwaminifu, atatusamehe dhambi zetu na kutufanya kuwa wapya. Dawa ya dhambi ni kutubu na kusamehewa.β¦
Open printable article β